Nani alitufundisha kuhusu Duka la mtandao (Postashop) Kwanini hatujifunzi kwa walioendelea?

BestOfMyKind

JF-Expert Member
Apr 26, 2012
1,335
1,386
Shirika la Posta limeanzisha duka la mtandao. Sijui nani aliwashauri kufanya hivi? Kwanini hatujifunzi kwa walioendelea?

Huwezi kufanya biashara ya kwa mlaji (consumer) kwa kutumia kodi za watu na ukafanikiwa. Yaani sisi tulitakiwa haya mambo tuwe tunaruka tu, kwasababu nchi zilizoendelea zilishapitia haya na wakaona haina faida wakatafuta mbadala na sasa wamesonga mbele.

Yaani sisi sio wa kusumbuka kutafuta namna ya kufankiwa, tupite mule mule walipopita waliofanikiwa.

Kwanini tuna vichwa vigumu hivi? yaani duniani huko kuna shirika la posta linafanya vizuri kweli na wala hawauzi viatu na mikoba mtandaoni kwanini hatutumii mbinu zao?

Kuna maduka mengi ya mtandao kwanini posta isiingie nayo mikataba ya kusafirisha vifurushi?

Ingia mkataba na Kina JustFitIt, Vunjabei, Born2shine etc, kila mteja anapoagiza mzigo kutoka kwao, anachagua Posta kama huduma ya kusafirisha mzigo wake pale chini. Na hawa jamaa wanakua na vifungashio maalumu vya posta, posta wakienda pale ni kukusanya mzigo na kusafirisha.

Sasa wenyewe wameanzisha biashara mtandaoni wakifikiri ni rahisi kwakua watu wengi wanafanya, atapita CAG hapo muwe na deficit ya ajabu wakati mnapewa hela na walipa kodi.

Posta ilitakiwa iingize mapato na iweze kulipa mishahara yake yote kwa watumishi wa posta.

Jamani eeh watumishi wa Umma tusiwe wakurupukaji, mambo yoote duniani yamefanyika tayari. Copy na Paste kutoka mataifa yalioendelea, ubunifu utafuata baada ya kufanikiwa maisha yenyewe haya mafupi.

Chini hapa ni jibu la swali kwanini serikali ya marekani haianzishi kampuni za umma za biashara


business.png
 
Hii nchi sote ni matahahira na mimi nikiwemo, nilikuwa najiita nina akili lakini kwakuwa bado mimi ni Mtanzania basi mimi ni mbumbumbu. Hakuna Mtanzania mwenye akili haijalishi ni bodaboda, fundi, WEO, polisi, mchungaji. Yani wote ni wajinga

Sasa tangu lini nchi yenye majinga ikafanikiwa. Tunaishi kwa kuwa tumebahatika kutokuwa na changamoto, imagine hii nchi ingekuwa inapata majanga kama Ethiopia au ni jangwa kama Chad si tungekuwa marehemu. Hatuwezi fanikiwa kwenye lolote hata kuangalizia hatuwezi
 
Kwanza hawa post kuna siku nitawawashia upupu na document zangu za project ya posta kiganjani.

Walitaka kupitisha wakaomba niwape mfumo wa maelezo kuhusu shirika la posta linawezaje kuwa na sanduku la posta kwa mtumiaji bila kuwa na sanduku.
Nikaeleza mpaka mifumo ya app ilivo.
Kuna mdada mmoja sita mtaja ndio alikuwa kitengo cha tehama akanichenga na kuniletea habari za posta shop.
Nikamwambia hilo siwezi sasa miaka ishapita na kutana na project yangu.

Hila hii project naona bado waliyochota kama yana kasoro.

Sijafurahi japo walijifanya kuzarau leo ndio wamenigeuka
IMG_8181.jpg

IMG_8182.jpg

IMG_8183.jpg

IMG_8184.jpg

IMG_8185.jpg
 
Kwanza hawa post kuna siku nitawawashia upupu na document zangu za project ya posta kiganjani.

Walitaka kupitisha wakaomba niwape mfumo wa maelezo kuhusu shirika la posta linawezaje kuwa na sanduku la posta kwa mtumiaji bila kuwa na sanduku.
Nikaeleza mpaka mifumo ya app ilivo.
Kuna mdada mmoja sita mtaja ndio alikuwa kitengo cha tehama akanichenga na kuniletea habari za posta shop.
Nikamwambia hilo siwezi sasa miaka ishapita na kutana na project yangu.

Hila hii project naona bado waliyochota kama yana kasoro.

Sijafurahi japo walijifanya kuzarau leo ndio wamenigeuka View attachment 1886121
View attachment 1886122
View attachment 1886123
View attachment 1886124
View attachment 1886125
Hujisikii kufikia muafaka juu ya matumizi ya ulichobuni?
 
Shirika la Posta limeanzisha duka la mtandao. Sijui nani aliwashauri kufanya hivi? Kwanini hatujifunzi kwa walioendelea?

Huwezi kufanya biashara ya kwa mlaji(consumer) kwa kutumia kodi za watu na ukafanikiwa. Yaani sisi tulitakiwa haya mambo tuwe tunaruka tu, kwasababu nchi zilizoendelea zilishapitia haya na wakaona haina faida wakatafuta mbadala na sasa wamesonga mbele.

Yaani sisi sio wa kusumbuka kutafuta namna ya kufankiwa, tupite mule mule walipopita waliofanikiwa.

Kwanini tuna vichwa vigumu hivi? yaani duniani huko kuna shirika la posta linafanya vizuri kweli na wala hawauzi viatu na mikoba mtandaoni kwanini hatutumii mbinu zao?

Kuna maduka mengi ya mtandao kwanini posta isiingie nayo mikataba ya kusafirisha vifurushi?

Ingia mkataba na Kina JustFitIt, Vunjabei, Born2shine etc, kila mteja anapoagiza mzigo kutoka kwao, anachagua Posta kama huduma ya kusafirisha mzigo wake pale chini. Na hawa jamaa wanakua na vifungashio maalumu vya posta, posta wakienda pale ni kukusanya mzigo na kusafirisha.

Sasa wenyewe wameanzisha biashara mtandaoni wakifikiri ni rahisi kwakua watu wengi wanafanya, atapita CAG hapo muwe na deficit ya ajabu wakati mnapewa hela na walipa kodi.

Posta ilitakiwa iingize mapato na iweze kulipa mishahara yake yote kwa watumishi wa posta.

Jamani eeh watumishi wa Umma tusiwe wakurupukaji, mambo yoote duniani yamefanyika tayari. Copy na Paste kutoka mataifa yalioendelea, ubunifu utafuata baada ya kufanikiwa maisha yenyewe haya mafupi.

Chini hapa ni jibu la swali kwanini serikali ya marekani haianzishi kampuni za umma za biashara


View attachment 1886085
Watanzania tunaishi kwa kubahatisha bahatisha na kimungumungu. Ni kweli Mungu anatusaidia sana watanzania
 
Kwanza hawa post kuna siku nitawawashia upupu na document zangu za project ya posta kiganjani.

Walitaka kupitisha wakaomba niwape mfumo wa maelezo kuhusu shirika la posta linawezaje kuwa na sanduku la posta kwa mtumiaji bila kuwa na sanduku.
Nikaeleza mpaka mifumo ya app ilivo.
Kuna mdada mmoja sita mtaja ndio alikuwa kitengo cha tehama akanichenga na kuniletea habari za posta shop.
Nikamwambia hilo siwezi sasa miaka ishapita na kutana na project yangu.

Hila hii project naona bado waliyochota kama yana kasoro.

Sijafurahi japo walijifanya kuzarau leo ndio wamenigeuka View attachment 1886121
View attachment 1886122
View attachment 1886123
View attachment 1886124
View attachment 1886125
Hii posta kinganjani naona ni nzuri sana.
 
Nchi yetu ni nchi ya kijamaa. Ni lazima ijiingize kwenye biashara kama hizo.
 
Back
Top Bottom