Huyu sii bure........................Anatafuta jelaWana MMU mwenzenu namzimia sana huyu mdada member mwenzetu hapa jamvini jina lake linaishia na neno "............sia" lakini naogopa kumwambia au jinsi gani nimuanze,naombeni ushauri wenu wakubwa zangu( ma bro na sister zangu) plse!
Kumbe na wewe umejua eh!CANTALISIA njoo uone mtu anataka kuchukua nafasi ya Salvadore.
Wana MMU mwenzenu namzimia sana huyu mdada member mwenzetu hapa jamvini jina lake linaishia na neno "............sia" lakini naogopa kumwambia au jinsi gani nimuanze,naombeni ushauri wenu wakubwa zangu( ma bro na sister zangu) plse!
Ndani ya siku 5 tangu uingie umeshamzimia? Au umekuja kivingine? Umenikumbusha enzi hizo unaandika barua halafu unaiweka katikati ya kitabu kabla ya kumpa "msichana wa sura nzuri". Au unamwita akfika wewe ndio unaanza kutazma chini. Tell it aaaahhh sorry tell her bwana ebo?
Nimeshakuja My dia Lizzy,CANTALISIA njoo uone mtu anataka kuchukua nafasi ya Salvadore.
Baba jaman hata jina la mwanao umelisahu??Kumbe na wewe umejua eh!
Kwanini nitafute jela bro, mie naomba ushauri wako tu ila mambo ya jela naogopa sna!
Nimeshakuja My dia Lizzy,
But mbona hajataja jina langu jaman,
Hope angetaja jina langu ningeweza sema chochote,
But as u know naitwa Cantalisia!! and not "sia"
Naweza kuwa anamwongelea mtu mwingine labda Asia!!!