Kama million 100+Habari Wana JF
Ninaomba ushauri wenu katika hili...nataka kujenga lodge yenye vyumba sita vyote self, iwe na kitchen ndogo reception na laundry room. Kwa mahesabu ya haraka haraka unaweza kunigharimu kiasi gani.
First thing first, answer the below questions:-Habari Wana JF,
Ninaomba ushauri wenu katika hili, nataka kujenga lodge yenye vyumba sita vyote self, iwe na kitchen ndogo reception na laundry room.
Kwa mahesabu ya haraka haraka unaweza kunigharimu kiasi gani.
Najenga hapa dar es salaam maeneo ya bunju na kiwanja ni tambarare. Kuhusu uje zi nasimamia mwenyewe.First thing first, answer the below questions:-
What region do you want to build the lodge??
You are planing to build areas with water, mountains or plains?
Have you planned to manage the construction yourself or someone close to you?