cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,552
- 5,447
Kwani kiongozi mlima ukiwa unashuka unakua nnNajua unamaanisha mteremko. Lakini nina swali; hivi pale kitonga mnaonaga mteremko tu hakuna mlima?
Kwani kiongozi mlima ukiwa unashuka unakua nnNajua unamaanisha mteremko. Lakini nina swali; hivi pale kitonga mnaonaga mteremko tu hakuna mlima?
Kwa akili zako hizo za kusifu na kuabudu utampata wapi Rejina Rejinald ahahahaaaa !!.Hajaolewa Ila ana mchumba wake fulani anaitwa ndege JOHN.
AhahahaaaaNajua unamaanisha mteremko. Lakini nina swali; hivi pale kitonga mnaonaga mteremko tu hakuna mlima?
Hajaolewa Ila ana mchumba wake fulani anaitwa ndege JOHN.
Mtoto mashallah, yuko bomba ile mbaya.Huyu dada ndie amenifanya niende machame, kijana kaa mbali na mke wangu mtarajiwa
Bila shaka utakuwa umeolewa wewe mkuu.Hajaolewa bali ameoa.
Habari wana jukwaa
Leo naomba nimuulize huyu bibie regina mengi...Jee ameolewa?jee ana watoto...hali ya mahusiano jee....
Kwa mnaomjua tafadhali huyu bibie ni mpole sana anavyoonekana mstaarab na muungwana pia...
Uzuri haiachia alamaKazi kwenu vijana Mimi dhamani nilikuwa najilipua tu
Nimependa sana hili swali..hii ndo inaitwa thinking out of the boxNajua unamaanisha mteremko. Lakini nina swali; hivi pale kitonga mnaonaga mteremko tu hakuna mlima?