Namuonea huruma,nampenda lakini sio kimahusiano

Huyo dada hakujileta duniani mwenyewe na kila mtu anamapungufu chamsingi mwambie tu uachane nae bac.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanielewa saaaana sio kidogo ila mimi waaaala

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi juwa wanawake tunatunza siri, Wenda nae alikuwa anakuvumilia kasoro zako ulizo nazo Wenda baadhi ya viungo vyako ila akajisemea moyoni kuwa ulipewa na Mungu, Wenda harufu mdomoni, ila akajisemea kuna Siku utabadilika. Like zati like zati😂
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…