General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,302
- 23,020
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha kwa hiyo hii imekufurahisha au imekufikirishaHahaha kila nikisoma post zako zisiponifurahisha zitanifikirisha!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante binamu, bado unatrade?Pirikapirika tu za kutafuta ugali. Be blessed kichwa!
ahahahaah tuanze upya wakati naona apa kabisa jinsi unavyowafanya wenzangu?Baby nataka nianze upya!!
Tuanze mimi na wewe.
nilistop kwa muda. Nikajipa likizo pia kuna some personal issues zilinitna kwenye reli. Nitarudi soon when the dust settles!
Sasa ataendelea kukuganda na wewe humtaki mwishowe inakuaje sasa? Au ndio mpaka ajiongeze mwenyewe asepeJambo ambalo sikujaliwa na Muumba wa mbingu ni kumwambia mtu ukweli kama sikuhitaji, silidhiki kuwa na wewe, yani siwezi cha kwanza namuonea huruma halafu nitamfedhehesha mno na atajiona hana thamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh pole binamu, I hope kila kitu kitakuwa sawanilistop kwa muda. Nikajipa likizo pia kuna some personal issues zilinitna kwenye reli. Nitarudi soon when the dust settles!
sure! Nikirudi nitakutaarifu binamu
Sawa binamu. Uwe unanipa sigino natrade kwenye demo yangusure! Nikirudi nitakutaarifu binamu
usijali binamu. I'll be in touch. Tutaunguza account pamoja hehe
Hahaha sawa binamu usiku mwemausijali binamu. I'll be in touch. Tutaunguza account pamoja hehe
na kwako pia binamu.
Aah, ila matusi ya papuchi si mazuri eti kama "malapulapu" duh ,tuacheniiiWote tuu tunapondana wakuzisema papuchi ovyo wapo na wanaosema vibamia nao wapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo dada hakujileta duniani mwenyewe na kila mtu anamapungufu chamsingi mwambie tu uachane nae bac.Baada ya kuwa karibu naye kwa kipindi kirefu,niliona kila aina ya dalili ya kupewa mzigo nikashawishika nikaitumia vizuri sana fursa hatimaye nikapewa mzigo,baada kwenda faraghani na kubaki kama tulivyozaliwa nilijuta sana maana mwili wake hauvutii kabisa yuko hovyo.
Kwakuwa tulishakifungia na tayari tushachojoa mavazi sikuwa na namna,nikala tunda hivyo hivyo(nilizipeleka hisia kwa mwingine nikiwa simwangalii yeye),baada ya kula tunda akaanza kufanya kila mbinu ili niwe chini ya himaya yake,mara nyingi akihitaji nionane naye nimekuwa napigapiga chenga siku moja moja namuonea huruma nampa anachokitaka.
Kichwani Yuko vizuri sana ni mshauri mzuri Sana pia sio mtu wa mizinga hata kidogo Ila tatizo ni moja tu hanivutii kabisa,Sasa nimeamua liwalo na liwe bora lawama Ila siwezi kujilazimisha niwe na mtu ambaye moyo wangu haufurahii kuwa naye,Jamani ukiona mtu anapiga chenga achana naye,hajakwambia kwanini anakupiga chenga kwasababu anakuheshimu/hataki kukukwaza,unataka akwambie unanuka mdomo? Unanuka kikwapa ?huna mvuto? Hayo yote ya Nini!!!!!.
Nimejifunza kutowakomalia wale wanaonipiga chenga baada ya kunanii naamini kuna mapungufu makubwa waliyaona kwangu hatimaye wakaamua kunikwepa.
Sent using Jamii Forums mobile app
ahahahaah tuanze upya wakati naona apa kabisa jinsi unavyowafanya wenzangu?
Nimwambie nini?Huyo dada hakujileta duniani mwenyewe na kila mtu anamapungufu chamsingi mwambie tu uachane nae bac.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inapendeza akijiongezaSasa ataendelea kukuganda na wewe humtaki mwishowe inakuaje sasa? Au ndio mpaka ajiongeze mwenyewe asepe
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi juwa wanawake tunatunza siri, Wenda nae alikuwa anakuvumilia kasoro zako ulizo nazo Wenda baadhi ya viungo vyako ila akajisemea moyoni kuwa ulipewa na Mungu, Wenda harufu mdomoni, ila akajisemea kuna Siku utabadilika. Like zati like zati😂