The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,333
- 4,152
- Thread starter
- #41
picha siwezi weka kwa ajili ya privacy yakeWeka picha yake tuone...
picha siwezi weka kwa ajili ya privacy yakeWeka picha yake tuone...
Kiongozi wewe unajuaje kama huyo dada si mwanaJF?hapana sio mdau wa JF kabisaa mkuu
kiufupi haijui kabisa hata inaonekanaje though kuna siku nshawai mgusia kuhusu JF lakini hakuonesha interest kabisa.Kiongozi wewe unajuaje kama huyo dada si mwanaJF?
Huyo sio anaumwa hapana sema amekujua ya kwamba wewe huwa unatoa Sana zawadi kipindi cha magonjwa yake ndio maana anaumwa Kira wakati.....😂😂😂😂😂😂kama umesoma vizuri, NIMESEMA sikutaka kumla na SITOMLA sababu hakuwa kwenye mawindo pia, simuamini sababu kila mara anaumwa umwa.
Fanyia kazi mbinu niliyokupa, mwambie leo ni siku ya pili tokea upewe majibu hayo, na sasa hivi unahisi kuchanganyikiwa na msongo wa mawazo umekuelemeakiufupi haijui kabisa hata inaonekanaje though kuna siku nshawai mgusia kuhusu JF lakini hakuonesha interest kabisa.
ahahahaa daah kaka, nishauri sasa nafanyaje hapaHuyo sio anaumwa hapana sema amekujua ya kwamba wewe huwa unatoa Sana zawadi kipindi cha magonjwa yake ndio maana anaumwa Kira wakati.....
asanteUpuuuzi mtupu
aaah atanitangaza yuleeFanyia kazi mbinu niliyokupa, mwambie leo ni siku ya pili tokea upewe majibu hayo, na sasa hivi unahisi kuchanganyikiwa na msongo wa mawazo umekuelemea
Bora asinipende, mie sina shida na kupendwa nae na kuhusu pesa kwa mtoto wa kiume kama mimi sio big deal pesa zinatafutwa tuHupendwi, anapendwa boom. Halafu anajua huna mke.
Ukikua utaelewa mambo yanavyoenda. Wanawake wanakua kiakili na kiuzoefu mapema sana.
Huko vyuoni wakati ww unafikiri unamdanganya yeye anacheza hiyo michezo na watu wazima wenye 50+ na wenye familia zao.
kama Sadala sioKanyaga...
Sasa usifanye maigizo utapoteza wewe maana huyo inawezekana anajua kuliko wewe na uzoefu anao. Kama unamtaka malizana nae endelea na masomo, kama humtaki mwambie moja kwa moja uendelee na masomo. Achana na maigizo na texts zisizoisha.Bora asinipende, mie sina shida na kupendwa nae na kuhusu pesa kwa mtoto wa kiume kama mimi sio big deal pesa zinatafutwa tu
POA kaka nitampotezea tu sina nacho taka kwakeSasa usifanye maigizo utapoteza wewe maana huyo inawezekana anajua kuliko wewe na uzoefu anao. Kama unamtaka malizana nae endelea na masomo, kama humtaki mwambie moja kwa moja uendelee na masomo. Achana na maigizo na texts zisizoisha.
Unafagilia eee.....aaah atanitangaza yulee
afu pia kaka yule ni mdogo kwangu kiumri sio hawa WA plate number C ye ni D za katikatiSasa usifanye maigizo utapoteza wewe maana huyo inawezekana anajua kuliko wewe na uzoefu anao. Kama unamtaka malizana nae endelea na masomo, kama humtaki mwambie moja kwa moja uendelee na masomo. Achana na maigizo na texts zisizoisha.
ntafukuza ndege wengine kaka kabisaaUnafagilia eee.....
pamojaa mkuuNimekusoma.
Pamoja sana