The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,330
- 4,146
- Thread starter
- #21
Poaaa poaaaAya bwana
Poaaa poaaaAya bwana
Una uhakika kwamba wanaJF wanapenda stori ndefu?nawasalimu kwa jina la JF, shuhuda ziendelee.
Wakuu imepita takribani miezi kadhaa hivi tangu ni fahamiane na huyu dada, nikiri kwa hii hali iliyofikia mie ndiye wa kulaumiwa.
Kama umesoma vizuri, NIMESEMA sikutaka kumla na SITOMLA sababu hakuwa kwenye mawindo pia, simuamini sababu kila mara anaumwa umwa.umeshapiga..??..maana unazungukazungukaaaa
😂😂😂eeh huna nguvu tena eeeh yakupika ubwabwa
Sina uhakika na sipendi story ndefu but for clarity purpose I do it. Sorry if it wasn't well with uUna uhakika kwamba wanaJF wanapenda stori ndefu?
ama nimekosea mamii wangu
Mle tu, mwanaume unagwaya nini...ile kuumwaumwa ni ili akupige mizinga na aone unamjali kiasi gani...bado hujawajua mabinti wewekama umesoma vizuri, NIMESEMA sikutaka kumla na SITOMLA sababu hakuwa kwenye mawindo pia, simuamini sababu kila mara anaumwa umwa.
Hujakoseaama nimekosea mamii wangu
Andika vema mheshimwa. Kiingereza uandikapo kiwe sawa. Tutakukosoa uanze kulialia🤣🤣🤣sina uhakika na sipendi story ndefu but for clarity purpose I do it. Sorry if it wasn't well with u
Kaka sio masihara wala nini, binti ni mgonjwa mara atokwe na damu sehemu za Siri, hadi sasa hela yangu niliompa ukiachana na zawadi ambazo hazizidi elfu tano, hela niliompa mkononi ni elfu tano tu tena aliomba nimkopeMle tu, mwanaume unagwaya nini...ile kuumwaumwa ni ili akupige mizinga na aone unamjali kiasi gani...bado hujawajua mabinti wewe
Sawaa mamiiHujakosea
Nakubali kaka kukosolewa siwezi jua kila kitu, so kama kuna pahala nimekosea nikotayari kurekebishwa.Andika vema mheshimwa .Kiingereza uandikapo kiwe sawa.Tutakukosoa uanze kulialia
Oraita. Tulianakubali kaka kukosolewa siwezi jua kila kitu , so kama kuna pahala nimekosea nikotayari kurekebishwa.
Sawa chiefOraita.Tulia
Asante muheshimiwa.sawa chief
we jamaa nafurahishwaga sana na comment zako pamoja na INTERGRITYWeka picha yake tuone...
Hapana sio mdau wa JF kabisaa mkuuMwambie umepima hivi karibuni imegundulika una UKIMWI.
Hii mbinu ninayokupa ole wako huyo dada apite maeneo haya ya JF, halafu mbaya zaidi awe ni mmoja ya wana JF, mbona utalijua jiji