Nimeshakwambia ACHA KUJIGONGA KWANGU...khaaa!!!kina nani wanaokuchukia sasa?wataje if wana exist
Aliyekwambia niko hapa kutafuta sifa ni nani?!anapenda kujibu topic kimipasho pasho kama faizafoxy....sio sifa wee Lizzy!
ukishikwa shikamana weweNimeshakwambia ACHA KUJIGONGA KWANGU...khaaa!!!
Na wewe...?!Kabisaaa?!NO THANK YOU!!ukishikwa shikamana wewe
Aliyekwambia niko hapa kutafuta sifa ni nani?!
mama yangu!
hata ukijibaraguza ujumbe umekufikia,na usinivute kny ligi zako za mchangani zisizo na kombe!
nani unataka akushike kama sio mimi? mimi ni mtaalamu wa mipira iliyokufa uciogopeNa wewe...?!Kabisaaa?!NO THANK YOU!!
Upumbavu hauna bei....so long L...O....S....ER!!!!nani unataka akushike kama sio mimi? mimi ni mtaalamu wa mipira iliyokufa uciogope
hahah..sipotezi chochote...kwa hiyo umekubali au?Upumbavu hauna bei....so long L...O....S....ER!!!!
We hujui tu! yule dada anaogopwa si mchezo! majibu yake ni shortcut, sasa anaowajibu ni wengine lakini mimi huwa naumia vipi siku akinijibu mimi?Mkuu unaogopa kivuli
Mbona yuko poa sana yule dada ni wewe tuu hujamzoea na unaogopa kivuli chake
tatizo hapendi zile za " Am handsome meen" maana ukija na hizo lazima upate za uso
ninapofikiria kupost chochote kile huku kwenye jukwaa la mahusiano mara nyingi huwa namfikiria lizy. Nalazimika kuipitia kazi yangu mpaka mara kumi hata iwe ndogo vipi, sababu ya kufanya yote hayo ni kujiandaa na changamoto ninazoweza kuzipata kutoka kwa lizy. Duh, yaani huyu dada namuogopa sana labda anikosoe kwa maandishi haya ambayo nimeamua kuandika bila kuyakagua. Yote kwa yote huwa najiuliza huyu dada kama ni mke wa mtu inakuwaje huko kwa mumewe?
Wapotezee hao...Eh! Jamani hakuna kilichojificha hapa namaanisha nilichoandika!