Namuelewa sana huyu mdada

Namuelewa sana huyu mdada

Usiniulize nimemuotaje, ila usiku mzima ame-cross akili yangu sana.

CV7w9m-WEAEPSfY.jpg


wanasema ukikutana na choo ndotoni usikitumie, we ulifanyaje?
 
Usiniulize nimemuotaje, ila usiku mzima ame-cross akili yangu sana.

CV7w9m-WEAEPSfY.jpg
Mkuu kama ile proportionality ya mausi tu pusi ni kweli, basi ndoto yako ipate kibali machoni pa Bwana....kitu kipo biyee😀😀😀😀....BTW kwenye threads za kusifia KE kama hizi huwezi kuwaona KE wa JF wakichangia,...watatafuta jitu la kuleta hapa nao waanze kulipigia promo, nadhanani kwa sasa watakuja na Mkulu au MUGULU kumpigia debe.
 
Ukiendekeza ndoto utajikuta unafunga ndoa na kiganja!!
 
Usiniulize nimemuotaje, ila usiku mzima ame-cross akili yangu sana.

CV7w9m-WEAEPSfY.jpg


Nadhani huyu ni dada UMMY Mwalimu, au siye????...Ila mleta uzi ana matatizo, uwe na heshima kidogo kwa viongozi...siyo kuleta masuala ya viongozi humu...watu wengine hawana staha...wanaweza kutoa comments za matusi humu na hasa baadhi ya watu wa UKAWA..
 
Nadhani huyu ni dada UMMY Mwalimu, au siye????...Ila mleta uzi ana matatizo, uwe na heshima kidogo kwa viongozi...siyo kuleta masuala ya viongozi humu...watu wengine hawana staha...wanaweza kutoa comments za matusi humu na hasa baadhi ya watu wa UKAWA..
Hakuna alietukana.
Na upinzani haujafikia hiko kiwango cha kutukana.
And it seems watu wanamuelewa sana.
 
dah kweli tunatofautiana,yani mm hajawai hata kunivutia hata kidogo kwanza sijui namuonaje!
 
Back
Top Bottom