Namuelewa sana huyu mdada

Namuelewa sana huyu mdada

Chuki kwa CCM zinaisha nikimuangalia tu.

arton2426.jpg

Naam, nampenda sana huyu mdada.
 
Yeah brother, she is attractive.. ila nimecheka sana uliposema chuki kwa ccm huwa inakwisha umwonapo ummy
 
umeota kipenzi cha roho yangu, kuna wakati huwa nasema hafananii na kuwa sisiem ase
 
Wanadai ukimwangalia mwanamke kwa kumtamani umeshazini nae .
 
Nampendaga kinyama huyu Mwanamke.

Hivi ameolewa?
 
Inawezekan una kahela kanakusumbua na nyuma ya nondo una cku hujafka .
 
Nadhani huyu ni dada UMMY Mwalimu, au siye????...Ila mleta uzi ana matatizo, uwe na heshima kidogo kwa viongozi...siyo kuleta masuala ya viongozi humu...watu wengine hawana staha...wanaweza kutoa comments za matusi humu na hasa baadhi ya watu wa UKAWA..
Acha uzuzu ...
 
Back
Top Bottom