Namuelewa sana huyu mdada

Namuelewa sana huyu mdada

Wanaume wa mkoani hao,dar es salaam huyo hata jaonekani naskia mm nko huku bukoba
 
mi nitakuwa nakuletea msosi pale segerea. . . .

alafu nimewahi waona mabinti zake yani sijui wamerithi kwa nani hawaingii hata kidogo kwa mheshimiwa
 
mi nitakuwa nakuletea msosi pale segerea. . . .

alafu nimewahi waona mabinti zake yani sijui wamerithi kwa nani hawaingii hata kidogo kwa mheshimiwa
Uwe unaleta buffet la maana. Maswala ya kuleteana donna sitaki.
Ntakupa ratiba ya vyakula kabisa.
Halafu ntakuwa jela ya VIP.
 
Back
Top Bottom