Namuelewa sana huyu mdada

Namuelewa sana huyu mdada

Mimi kati ya viongozi wanawake namkubali sana huyu mama namkubali sana kwa utendaji wake kwakweli nataman hata siku moja nionane naye ili nimpe pongezi zake toka kwangu.
Viva mama
1473587188796.jpg
1473587193970.jpg
1473587198124.jpg
 
Mtoa mada umemuota waziri kwa kuwa amezuia KY
 
kawaida bwana kumuwaza kwan naye si binadam
Ila hilo swali la anataka nn kwake litupe kwa mtoa post

Hao ndo wanaowaona viongozi ni miungu watu.
 
Back
Top Bottom