Basi we hujui kuota....Sio kwa ulivyowaza. Nimemuota kikazi zaidi.
Kiukweli mm ndio maana nawachukia sana watu wanaoiponda awamu hii ..Huyu yupo serious sana bhana.
Jambazi unaradhi ww kijana unakuwa hoi kwa waziri wako?Yaani wewe jamaa upo kama mimi aisee ila sema tofauti sijawahi kumuota! Lips za mdomo wake na shigo+miguu mim hoi kusema ukweli!!
Age Just a Number!!Nina 22. Happy now?
Mkuu Uwaziri si cheo tu! kwani inahusiana vipi na mambo mengineJambazi unaradhi ww kijana unakuwa hoi kwa waziri wako?
Mwenzako alikuwa anaota ndani ya box letu we ni kiboko umekwea pipa kwa ndoto mpaka kwa obamaHapo mtaani kwako hakuna hata aliyemzidi,we ni mvivu wa kuota! mi namuota yule michelle kila siku
Daaah.....ana shingo nzuri sanaaaUsiniulize nimemuotaje, ila usiku mzima ame-cross akili yangu sana.
![]()
