Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,654
- 18,792
Kweli nimeamini ulimuota kweli asubuh asubuh umesha fika huku! hahaha huna mpinzani aiseeMnafanya maisha yanakuwa magumu.
Kweli nimeamini ulimuota kweli asubuh asubuh umesha fika huku! hahaha huna mpinzani aiseeMnafanya maisha yanakuwa magumu.
Nadhani huyu ni dada UMMY Mwalimu, au siye????...Ila mleta uzi ana matatizo, uwe na heshima kidogo kwa viongozi...siyo kuleta masuala ya viongozi humu...watu wengine hawana staha...wanaweza kutoa comments za matusi humu na hasa baadhi ya watu wa UKAWA..