Namuanzaje mamamkwe???

pole mkuu namna ya kwenda kumwuliza mama mkwe mmmhhh pana ugumu.
Swali je wakati unamwambia atoe pesa kwa ajili ya wazazi/ndugu zako kuna kiasi chochote ulikuwa unampatia kwa ajili ya wazazi wake pia?

Mmmmhhh BM unaanzaje kuwakatia mpunga wazazi wa msichana kabla hujamwoa,wazazi nao wanaanzaje kupokea pesa toka kwa 'rafiki' wa binti yao?
 
WanaMMU salaam mbele!
Ni hivi..Niko na mchumbaangu na huu ni mwaka wa tatu na Mwenyezi Mungu akijaalia huenda mwaka huu tukajitia kitanzi (pingu za maisha). Lakini wajameni kuna kitu kimenishangaza kidogo ndo maana nikaja hapa walau mnisaidie kwa kulitizama kwa mapana jambo lenyewe!

Kwa muda takribani miezi sita sasa nimekuwa nje ya Bongo, na kwa kuwa niko na wazazi wananitegemea na wako mbali na Dar ninakoishi niliamua kumuachia mchumbaangu ATM Card yangu ili awe ana'access' mshahara wangu kwa ajili ya kuwatumia wazee na wadogo zangu matumizi. Kwa kipindi kirefu sikuwa nimeona kama kuna walakini kwenye hesabu zangu coz mara moja moja nilikuwa naomba bank statement ili kujiridhisha kama mambo yanaenda vizuri ( ikumbukwe hizi ni pesa na zina vishawishi). Of course kuna wakt kumekuwa na vijimatumizi visivokuwa na kichwa wala miguu na kwa kuwa haikuwa figure kubwa sikuwa najali sana zaidi ya kumkumbusha tu awe makini.

Kama miezi miwili iliyopita niliomba tena bank statement bahati mbaya nikakuta kuna hela kama laki tano imetolewa nje ya matumizi niliyomwidhinishia. Niliamua kumuuliza mchumbaangu kisa cha ku'draw' mkwanja huo. Cha ajabu alishtuka na kuniomba 'sorry' kuwa mamamkwe (yaan mamaake) aliziomba ili akatatulie matatizo ofisini kwao..yaan alikuwa na loss( she is an accountant). Na pia alimuambia asiniambie coz angezirudisha soon!..Nimekuwa nikimuuliza kama zimerudishwa na mpaka naandika huu uzi naona bado ni kimya...Sasa kwa kuwa huku nilipo sipigi deal wala nini na mkwanja wa huko Bongo ndo nautegemea (kumbuka kuna harusi hapa mbeleni) nimebaki nimeduwaa!..Natamani nimuulize mamamkwe but nakosa 'guts'..Je? Nimuamini tu mchumbaangu au nijikakamue tu nimuulize my mother in law???..sasa kumuuliza ndo naanzaje???

Anza hivi 'Mama nina swali,hivi ni kweli ulichukua pesa kiasi cha laki tano kwa mwanao?
 
75% naamini mama hajui kinachoendelea. usishangae hela kapewa mwanaume mwenzio! Vumilia lakini, tulia utajua yote ukirudi. usimdai wala usisamehe. Tulia. Akirudia tena hata 50 bila taarifa na kama utakaa sana huko, Wasiliana na benk wa-block ATM.
 
Mmmmhhh BM unaanzaje kuwakatia mpunga wazazi wa msichana kabla hujamwoa,wazazi nao wanaanzaje kupokea pesa toka kwa 'rafiki' wa binti yao?

This is what has happened man Bishanga...kama limefanyika kwa nia nzuri i see no offence bcoz sooner and very sooner i will be their in law..shida ni pale kama huyu binti katumia mgongo wa mama kuni'blackmail'
 
75% naamini mama hajui kinachoendelea. usishangae hela kapewa mwanaume mwenzio! Vumilia lakini, tulia utajua yote ukirudi. usimdai wala usisamehe. Tulia. Akirudia tena hata 50 bila taarifa na kama utakaa sana huko, Wasiliana na benk wa-block ATM.

Siombei iwe hivi mkuu..i know i can't wait to hear that!
 
WanaMMU salaam mbele!
Ni hivi..Niko na mchumbaangu na huu ni mwaka wa tatu na Mwenyezi Mungu akijaalia huenda mwaka huu tukajitia kitanzi (pingu za maisha). Lakini wajameni kuna kitu kimenishangaza kidogo ndo maana nikaja hapa walau mnisaidie kwa kulitizama kwa mapana jambo lenyewe!

Kwa muda takribani miezi sita sasa nimekuwa nje ya Bongo, na kwa kuwa niko na wazazi wananitegemea na wako mbali na Dar ninakoishi niliamua kumuachia mchumbaangu ATM Card yangu ili awe ana'access' mshahara wangu kwa ajili ya kuwatumia wazee na wadogo zangu matumizi. Kwa kipindi kirefu sikuwa nimeona kama kuna walakini kwenye hesabu zangu coz mara moja moja nilikuwa naomba bank statement ili kujiridhisha kama mambo yanaenda vizuri ( ikumbukwe hizi ni pesa na zina vishawishi). Of course kuna wakt kumekuwa na vijimatumizi visivokuwa na kichwa wala miguu na kwa kuwa haikuwa figure kubwa sikuwa najali sana zaidi ya kumkumbusha tu awe makini.

Kama miezi miwili iliyopita niliomba tena bank statement bahati mbaya nikakuta kuna hela kama laki tano imetolewa nje ya matumizi niliyomwidhinishia. Niliamua kumuuliza mchumbaangu kisa cha ku'draw' mkwanja huo. Cha ajabu alishtuka na kuniomba 'sorry' kuwa mamamkwe (yaan mamaake) aliziomba ili akatatulie matatizo ofisini kwao..yaan alikuwa na loss( she is an accountant). Na pia alimuambia asiniambie coz angezirudisha soon!..Nimekuwa nikimuuliza kama zimerudishwa na mpaka naandika huu uzi naona bado ni kimya...Sasa kwa kuwa huku nilipo sipigi deal wala nini na mkwanja wa huko Bongo ndo nautegemea (kumbuka kuna harusi hapa mbeleni) nimebaki nimeduwaa!..Natamani nimuulize mamamkwe but nakosa 'guts'..Je? Nimuamini tu mchumbaangu au nijikakamue tu nimuulize my mother in law???..sasa kumuuliza ndo naanzaje???

Utamuonea bure mama mkwe wako kwa sababu hakukuomba wewe mwenyewe pesa hizo; ukumkabili moja kwa moja atakuona mtu mwenye nidhamu ya hovyo sana, kuna uwezekano pia jina la mama mkwe linatumika kama kinga tu! mchumba wako ndie katumia pesa hiyo baba!! anaamini huwezi kumuuliza mama mkwe, dont rule out any possibilities no matter how funny such possibilities may look!!
Nakushauri umbane mchumba wako kisaikolojia kwanza kwamba hizo pesa zisiporudishwa within a certain time frame; it gonna have negative implications on your wedding plans and may be your entire relationship kwa sababu za kukosa UAMINIFU, tell her you may even consider to cancel the wedding altogether, then usikilizie reaction yake, akikupuuza then fahamu bayana kwamba huko usoni kama utamuoa ni ngarambe tupu!
 
Kama wataka mke hizo laki 5 samehe tu mkuu....ni hela ndogo sana kulinganisha na thamani ya huyo ulienae....pia fanya haraka urudi na uchukue ATM yako....

LIKE!
Kweli mkubwa, umerejea na pointi kibao.
 
Mhh kama kuna something wrong hapa, why mama mkwe aseme kwamba asikuambie wewe??Na mama mkwe alijuaje kama mwanae ana card yako??Me kwa upande wangu hilo neno alilosema mama mkwe kwamba asikuambie wewe then hapo hhamna jinsi nadhani, kwanza utaanzaje kumuuliza maana mama mkwe amesema usiambiwe, na je utajuaje kama ni kweli mama mkwe ndio kapewa hela??nadhani kwaza kabia mchumba wako ameshaona kwamba huwezi kuongea na mama yake na kumuuliza kuhusu hilo swala.
 
WanaMMU salaam mbele!
Ni hivi..Niko na mchumbaangu na huu ni mwaka wa tatu na Mwenyezi Mungu akijaalia huenda mwaka huu tukajitia kitanzi (pingu za maisha). Lakini wajameni kuna kitu kimenishangaza kidogo ndo maana nikaja hapa walau mnisaidie kwa kulitizama kwa mapana jambo lenyewe!

Kwa muda takribani miezi sita sasa nimekuwa nje ya Bongo, na kwa kuwa niko na wazazi wananitegemea na wako mbali na Dar ninakoishi niliamua kumuachia mchumbaangu ATM Card yangu ili awe ana'access' mshahara wangu kwa ajili ya kuwatumia wazee na wadogo zangu matumizi. Kwa kipindi kirefu sikuwa nimeona kama kuna walakini kwenye hesabu zangu coz mara moja moja nilikuwa naomba bank statement ili kujiridhisha kama mambo yanaenda vizuri ( ikumbukwe hizi ni pesa na zina vishawishi). Of course kuna wakt kumekuwa na vijimatumizi visivokuwa na kichwa wala miguu na kwa kuwa haikuwa figure kubwa sikuwa najali sana zaidi ya kumkumbusha tu awe makini.

Kama miezi miwili iliyopita niliomba tena bank statement bahati mbaya nikakuta kuna hela kama laki tano imetolewa nje ya matumizi niliyomwidhinishia. Niliamua kumuuliza mchumbaangu kisa cha ku'draw' mkwanja huo. Cha ajabu alishtuka na kuniomba 'sorry' kuwa mamamkwe (yaan mamaake) aliziomba ili akatatulie matatizo ofisini kwao..yaan alikuwa na loss( she is an accountant). Na pia alimuambia asiniambie coz angezirudisha soon!..Nimekuwa nikimuuliza kama zimerudishwa na mpaka naandika huu uzi naona bado ni kimya...Sasa kwa kuwa huku nilipo sipigi deal wala nini na mkwanja wa huko Bongo ndo nautegemea (kumbuka kuna harusi hapa mbeleni) nimebaki nimeduwaa!..Natamani nimuulize mamamkwe but nakosa 'guts'..Je? Nimuamini tu mchumbaangu au nijikakamue tu nimuulize my mother in law???..sasa kumuuliza ndo naanzaje???

Kama tatizola mchumba wako ni hilo la laki 5, tu basi achana nazo uendelee na maisha. Bora ungojee urudi pengine unaweza ukawa muda muafaka kuliuliza hilo!
 
Unatangaza ufalme kumwachia mtu open account kabla hujamuoa halafu unakuja kulalamika JF? Mombasa wanasema "matezo gharama". Unataka vya bure?
 
Mkuu kusema ni hela kidogo au nyingi inategemea na kipato cha mtu husika. Binafsi sina kipato kikubwa kivile na pia si unajua maextended family. Nia yangu ilikuwa kujua kama ni kweli mamamkwe ndio kazikopa au bidada ananzingua..Na kusema niwahi kurudi kwa ajili ya ATM card naona bado ngumu..issue hapa ni uaminifu ndo nautafuta!

Mkuu sijasema laki 5 ni hela ndogo,ila nimesema laki 5 ni hela ndogo kulinganisha na thamani ya huyo umpendae...
nadhani umenipata vyema....
 
Mkuu usikubali kabisa kusamehe huo mkwanja, kwanza kama mama mwenyewe ni accountant it means naye mambo yake si mabaya kama walivyo watanzania wengi, angekuwa ni mkulima wa jembe la mkono kule Bumbuli au Tandahimba ningekuambia msamehe.

Otherwise include huo mkwanja kwenye Mahali kama bado hujatoa mahali, but otherwise dai chako aisee, ndo kwanza hata kumuoa bado, ukiisamehe hiyo jiandae kukutana na changamoto kibao mbeleni.

Don Killuminati, nadhani wewe pia ni "accountant" by profession.
 
Mtu mwizi ni mwizi tu, haiwezekani mamkwe akope hela ndani ya nyumba bila kukushirikisha, na mamkwe anaoenekana hana busara haiwezekani akasema asikwambie wakati ni mkeo mtarajiwa anafikiri anajenga picha gani kwako. Mkuu be kin coz inaonekana wanaushirikiano mkubwa sana wasijeyumbisha family yako. Hivyo nakushauri mkuu usubiri kama walivyosema wadau hapo juuuuuuuuuuuuuuuuu lakini ukiona kimya unatakiwa kumwonya immediately otherwise they will take every thing as usual.
 
hela kama sio yako,kuitumia huionei uchungu.pengine huyo mchumba ametumia tu kwa matumizi yake binafsi.na kwa nini kadi umuachie mchumba,wanawake wenyewe hawaishi kubadilika.dunia ya sasa kuhusu hela uaminifu ni zero
 
hio hela samehe mkuu fanya kama ilipotea bahati mbaya,ila usimake a mistake again kumuachia mchumba wako card yako,never again...hana maaamuzi magumu,kama mama yake ana shida kwa nini asingetoa kny account yake mwenyewe,hujasema kama ana kazi at all inayomuingizia kipato au anakutegemea kwa kila kitu....
 
Mtu mwizi ni mwizi tu, haiwezekani mamkwe akope hela ndani ya nyumba bila kukushirikisha, na mamkwe anaoenekana hana busara haiwezekani akasema asikwambie wakati ni mkeo mtarajiwa anafikiri anajenga picha gani kwako. Mkuu be kin coz inaonekana wanaushirikiano mkubwa sana wasijeyumbisha family yako. Hivyo nakushauri mkuu usubiri kama walivyosema wadau hapo juuuuuuuuuuuuuuuuu lakini ukiona kimya unatakiwa kumwonya immediately otherwise they will take every thing as usual.

Ndiyo maana nikalileta mkuu ili tulidadavue..japo kuna wengine wanaona kama namind mshiko!..mara hela yenyewe mbuzi..watu bwana!
 
hio hela samehe mkuu fanya kama ilipotea bahati mbaya,ila usimake a mistake again kumuachia mchumba wako card yako,never again...hana maaamuzi magumu,kama mama yake ana shida kwa nini asingetoa kny account yake mwenyewe,hujasema kama ana kazi at all inayomuingizia kipato au anakutegemea kwa kila kitu....

Dadaangu Jesatina na yeye ana kazi yake na kusema ukweli hatupishani sana kipato na kwa kujua kuwa hela kwake sio issue kiivyo ndio maana niliamua nimuachie acc yangu!..nimeshindwa kumuuliza kwa nini hakumpa za kwake, kwa sababu bado sijaamini kama zimetafunwa na atakayenipa ukweli ni mamamkwe!..na mbaya zaidi ndoa ni hivi karibuni sasa si unajua maandalizi!!
 
hela kama sio yako,kuitumia huionei uchungu.pengine huyo mchumba ametumia tu kwa matumizi yake binafsi.na kwa nini kadi umuachie mchumba,wanawake wenyewe hawaishi kubadilika.dunia ya sasa kuhusu hela uaminifu ni zero

Kama nilvyosema huko mwanzo..huyu kama Mungu akipenda ndo atakuwa my wife wangu, so, sikuona kwa nini nisimshirikishe kwenye mambo yangu provided tumekuwa kwenye uchumba takriban miaka mi3!..Any way kukosea njia ndio kujua njia..though sijawa hundred percent sure kama kazitafuna!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom