Namtafutia mchumba (mwanaume) rafiki yangu

Status
Not open for further replies.

Kalpana

JF-Expert Member
Jun 16, 2017
26,863
50,058
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.

Sifa zake;
  • Mweusi
  • Urefu Size ya kati.
  • Ana elimu ya degree.
  • Ana kampuni yake.
  • Ana maisha yake anajitegemea.
  • Ana hofu ya Mungu.
  • Anaishi Dar es salaam.

Sifa za mwanaume amtakae;
  • Yoyote mwenye kujielewa.
  • Mwenye kufocus na maisha.
  • Umri miaka 35 na kuendelea.
  • Dini mkristo.

Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
 
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba...yeye hayumo sio member humu..kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri..yeye ana umri wa 31 yrs na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake...

Sifa zake
-Mweusi
-urefu Size ya kati
-Ana elimu ya degree
-Ana kampuni yake
-Ana maisha yake anajitegemea
-Ana hofu ya Mungu...
-Anaishi Dar es salaam

Sifa za mwanaume amtakae
-Yoyote mwenye kujielewa
-mwenye kufocus na maisha
-umri miaka 35 na kuendelea
-dini mkristo
Kwa yeyote ambae yuko tayari nimpe namba waweze kuwasiliana..nitawasaili kwa niaba..
Nipo tayari na nimekidhi vigezo. Naomba namba.
 
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba...yeye hayumo sio member humu..kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri..yeye ana umri wa 31 yrs na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake...

Sifa zake
-Mweusi
-urefu Size ya kati
-Ana elimu ya degree
-Ana kampuni yake
-Ana maisha yake anajitegemea
-Ana hofu ya Mungu...
-Anaishi Dar es salaam

Sifa za mwanaume amtakae
-Yoyote mwenye kujielewa
-mwenye kufocus na maisha
-umri miaka 35 na kuendelea
-dini mkristo
Kwa yeyote ambae yuko tayari nimpe namba waweze kuwasiliana..nitawasaili kwa niaba..
Apo ambao tuna focus ngono tushafeli vigezo
 
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba...yeye hayumo sio member humu..kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri..yeye ana umri wa 31 yrs na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake...

Sifa zake
-Mweusi
-urefu Size ya kati
-Ana elimu ya degree
-Ana kampuni yake
-Ana maisha yake anajitegemea
-Ana hofu ya Mungu...
-Anaishi Dar es salaam

Sifa za mwanaume amtakae
-Yoyote mwenye kujielewa
-mwenye kufocus na maisha
-umri miaka 35 na kuendelea
-dini mkristo
Kwa yeyote ambae yuko tayari nimpe namba waweze kuwasiliana..nitawasaili kwa niaba..
Naona shida yako umeamua kudanganya ni ya rafiki yako.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom