Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,863
- 50,058
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.
Sifa zake;
Sifa za mwanaume amtakae;
Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Sifa zake;
- Mweusi
- Urefu Size ya kati.
- Ana elimu ya degree.
- Ana kampuni yake.
- Ana maisha yake anajitegemea.
- Ana hofu ya Mungu.
- Anaishi Dar es salaam.
Sifa za mwanaume amtakae;
- Yoyote mwenye kujielewa.
- Mwenye kufocus na maisha.
- Umri miaka 35 na kuendelea.
- Dini mkristo.
Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.