Ester505
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 794
- 1,030
Rafiki yangu anahitaji mume.
SIFA ZA ANAYEMHITAJI;
Awe mkristo
Awe na Umri kuanzia miaka 43 na kuendelea.
Asiwe mlevi.
Awe na kazi kuajiriwa/ kujiajiri
Asiwe na zaidi ya watoto 2.
Mwenye uelewa.
Awe mkarimu.
Awe Mvumilivu
Awe na Nia ya DHATI&UHITAJI WA MKE( KUFUNGA NDOA)
SIFA ZA RAFIKI YANGU:
Amejiajiri
Ana mtoto mmoja
Muelewa
Mkristo
Mkarimu
Hatumii kilevi chochote zaidi ya mbege.
Ana umri wa miaka 41.
Karibu PM wewe mwenye vigezo.
Naomba upite kimyakimya ndio busara Kama huna neno la busara.
SIFA ZA ANAYEMHITAJI;
Awe mkristo
Awe na Umri kuanzia miaka 43 na kuendelea.
Asiwe mlevi.
Awe na kazi kuajiriwa/ kujiajiri
Asiwe na zaidi ya watoto 2.
Mwenye uelewa.
Awe mkarimu.
Awe Mvumilivu
Awe na Nia ya DHATI&UHITAJI WA MKE( KUFUNGA NDOA)
SIFA ZA RAFIKI YANGU:
Amejiajiri
Ana mtoto mmoja
Muelewa
Mkristo
Mkarimu
Hatumii kilevi chochote zaidi ya mbege.
Ana umri wa miaka 41.
Karibu PM wewe mwenye vigezo.
Naomba upite kimyakimya ndio busara Kama huna neno la busara.