Rafiki yangu anahitaji mume

Ester505

JF-Expert Member
Jul 14, 2020
794
1,030
Rafiki yangu anahitaji mume.
SIFA ZA ANAYEMHITAJI;
Awe mkristo
Awe na Umri kuanzia miaka 43 na kuendelea.
Asiwe mlevi.
Awe na kazi kuajiriwa/ kujiajiri
Asiwe na zaidi ya watoto 2.
Mwenye uelewa.
Awe mkarimu.
Awe Mvumilivu
Awe na Nia ya DHATI&UHITAJI WA MKE( KUFUNGA NDOA)
SIFA ZA RAFIKI YANGU:
Amejiajiri
Ana mtoto mmoja
Muelewa
Mkristo
Mkarimu
Hatumii kilevi chochote zaidi ya mbege.
Ana umri wa miaka 41.
Karibu PM wewe mwenye vigezo.
Naomba upite kimyakimya ndio busara Kama huna neno la busara.
 
Rafiki yangu anahitaji mume.
SIFA ZA ANAYEMHITAJI;
Awe mkristo
Awe na Umri kuanzia miaka 43 na kuendelea.
Asiwe mlevi.
Awe na kazi kuajiriwa/ kujiajiri
Asiwe na zaidi ya watoto 2.
Mwenye uelewa.
Awe mkarimu.
Awe Mvumilivu
Awe na Nia ya DHATI&UHITAJI WA MKE( KUFUNGA NDOA)
SIFA ZA RAFIKI YANGU:
Amejiajiri
Ana mtoto mmoja
Muelewa
Mkristo
Mkarimu
Hatumii kilevi chochote zaidi ya mbege.
Ana umri wa miaka 41.
Karibu PM wewe mwenye vigezo.
Naomba upite kimyakimya ndio busara Kama huna neno la busara.
Yuko mkoa gan, umri wke ni gan
 
Rafiki yangu anahitaji mume.
SIFA ZA ANAYEMHITAJI;
Awe mkristo
Awe na Umri kuanzia miaka 43 na kuendelea.
Asiwe mlevi.
Awe na kazi kuajiriwa/ kujiajiri
Asiwe na zaidi ya watoto 2.
Mwenye uelewa.
Awe mkarimu.
Awe Mvumilivu
Awe na Nia ya DHATI&UHITAJI WA MKE( KUFUNGA NDOA)
SIFA ZA RAFIKI YANGU:
Amejiajiri
Ana mtoto mmoja
Muelewa
Mkristo
Mkarimu
Hatumii kilevi chochote zaidi ya mbege.
Ana umri wa miaka 41.
Karibu PM wewe mwenye vigezo.
Naomba upite kimyakimya ndio busara Kama huna neno la busara.
Sasa umri wote huo ukaoe mjane 😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom