KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,651
- 6,109
Halafu umesahau kuwaambia kule mlimani kunae baridi mbaya...sasa mzee inabidi apate chapa mtu kiaina.
Afu nasikia wazee wa kulw kweny baridi maini hayazeeki.....unamkuta wa miaka 90 lakini mkongojo imara kabisa.