Namtafutia baba yangu mke

Namtafutia baba yangu mke

Nna rafiki yangu mama yake alifariki tukiwa first year na yy ndo first born so she was 21...mm yao aliwaachia kitoto kina miezi kadhaa..yani baada tu ya kifo ht mwaka haukuisha mdingi akavuta kibint age sawa na rafiki yangu....aliumia saanaa chuoni full mawazo..uchungu wa mm bado anao na bado hasira za maza mpya ambaye ni age yake na alimchukia bb yake nomaa...yule maza wake alitegesha mtoto fasta ila bahati mbaya kalifariki ..sijui km kazaa tena...aliwaza kwann huyu avutwe ndani muda mfupi baada ya mama yke kufariki...alifikiria mengi....mwacheni mdingi aishi maisha yake km hajawaomba mumtafutie mke otherwise mtajuuta
 
pole smile kwa upweke na hongera kwa maamuzi ya busara juu ya baba yako (mgane not mjane) km yeye ametaman go ahed km hajagusia hilo swala tulia usije ingia king
 
huyo rafiki yako nae ni mbinafsi sasa alichukia nini?....kwanza ushasema huyo mama marehemu aliacha kichanga ? je kama mzee alimleta amlelee mtoto? sio fair kuwa wabinafsi hivo bwana ..tuwe tunaangalia na wengine...angewaacha tu wajenge familia
Nna rafiki yangu mama yake alifariki tukiwa first year na yy ndo first born so she was 21...mm yao aliwaachia kitoto kina miezi kadhaa..yani baada tu ya kifo ht mwaka haukuisha mdingi akavuta kibint age sawa na rafiki yangu....aliumia saanaa chuoni full mawazo..uchungu wa mm bado anao na bado hasira za maza mpya ambaye ni age yake na alimchukia bb yake nomaa...yule maza wake alitegesha mtoto fasta ila bahati mbaya kalifariki ..sijui km kazaa tena...aliwaza kwann huyu avutwe ndani muda mfupi baada ya mama yke kufariki...alifikiria mengi....mwacheni mdingi aishi maisha yake km hajawaomba mumtafutie mke otherwise mtajuuta
 
Smile tunarudi kwenye umuhimu wa team grow old together!
Upweke ni ugonjwa mbaya kuliko magonjwa yote!
Sasa baba fedha ipo na watoto mnajiweza lakini anaitaji mwenza.
Pole mami... muombee baba atapata mwenza wa kuugua naye, kuongea naye, kula pamoja nae, na mwisho kuzikana.
 
baba yangu ni mjane!
ninamtafutia mke...umri wowote ila miaka 60 na kuendelea atafaa zaidi maana yeye yupo above 70!
naitaji mama wa kumtunza na kumuondolea upweke naona anateseka sana maana watoto wote hatupo nyumbani yupo na kijana wa kazi tu!
hela kila kitu mamamdogo atakachotaka tutampa! ila amtuze tu mzee vizuri!
kama unataka au una mtu just ni pm!


Ukipata mama wakaoana kisheria
miezi michache ikapita,baba yako akafa

umewahi fikiria kuhusu 'mirathi itakuwaje'?
mtakubali kumpa mama yenu haki zake?

mtamtunza na yeye?
akipata mume wa kuishi nae kwenye nyumba ya baba yako mtakubali?
 
Ukipata mama wakaoana kisheria
miezi michache ikapita,baba yako akafa

umewahi fikiria kuhusu 'mirathi itakuwaje'?
mtakubali kumpa mama yenu haki zake?

mtamtunza na yeye?
akipata mume wa kuishi nae kwenye nyumba ya baba yako mtakubali?

Hivi kwa mfano baba ameacha wosia wa maandishi na huyo mke mpya hajaachiwa chochote na baba kwa maneno yake mwenyewe katamka (kupitia maandishi) warithi wake, huyo mke atakuwa na haki gani hapo?
 
Smile mama yangu pia mjane lakini kamzidi mzee wako yeye ni 63..anafaa au?
 
Last edited by a moderator:
vipi mzee kagusia suala la kugegeda...maana huku kwetu yupo mama mmoja yupo tayali lakini ni mloho sana wa kugegedwa....
 
Mke au hausigelo?

Mwache baba yako atafute wa kufanana nae usimpangie aisee
 
Ukipata mama wakaoana kisheria
miezi michache ikapita,baba yako akafa

umewahi fikiria kuhusu 'mirathi itakuwaje'?
mtakubali kumpa mama yenu haki zake?

mtamtunza na yeye?
akipata mume wa kuishi nae kwenye nyumba ya baba yako mtakubali?
hili ni swala gumu sana usiombe likukute.

Hivi kwa mfano baba ameacha wosia wa maandishi na huyo mke mpya hajaachiwa chochote na baba kwa maneno yake mwenyewe katamka (kupitia maandishi) warithi wake, huyo mke atakuwa na haki gani hapo?

huu ndio utakaokuwa mwanzo wa vita katika hii familia. nakumbuka kisa kimoja cha maiti kukaa miezi 2 mochwari kisa baba aliacha wosia kwa mama mzazi na mkewe alitolewa kapa.waligombea maiti mama na mke kisa tu watu wanataka kuwa warithi wa marehemu.
 
huu ndio utakaokuwa mwanzo wa vita katika hii familia. nakumbuka kisa kimoja cha maiti kukaa miezi 2 mochwari kisa baba aliacha wosia kwa mama mzazi na mkewe alitolewa kapa.waligombea maiti mama na mke kisa tu watu wanataka kuwa warithi wa marehemu.

Ni ujeuri na ulafi tu wa watu. Kama wosia wa maandishi upo na umethibitishwa kuwa ni halali na ulitamkwa na marehemu akiwa hai na mwenye akili timamu, sioni kwa nini nyie mliobaki muanze kugombania mali.

Na nijuavyo mimi wosia wa maandishi, kama ni halali, basi huwa haupingwi! Sasa nyie mlobaki mnaweza hata kukatana mapanga kwa ajili ya mali ambazo wala si zenu.

Mtu unaishia kupata maumivu na kwenye mali unatoka kapa!!
 
Back
Top Bottom