GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,872
- 4,604
wewe hebu maliza chuo kwanza, na upunguze kupenda vya wakubwa! hapa tulipo tumeshakandamiza mahari ya Mwita Maranya sasa akigeuza kibao sijui tutalipa nini!Ongea taratibu maana kuna watu wakisikia kama Mwita Maranya GreenCity Baba V itakuwa balaa.Ila hata mimi ghafla nimempenda huyo baba japo sijamuona.......nitulie nae!!!!
Last edited by a moderator: