Namtafuta baba yangu anaitwa Gerson Jacob Kasanga

Status
Not open for further replies.
Asanteni kwa kujali wakuu na naendelea kufanya private correspondence na Osaka naamini atanisaidia. Nikifanikiwa ntarudisha mrejesho na nisipofanikiwa vile vile ntarudisha mrejesho.
 
Asanteni kwa kujali wakuu na naendelea kufanya private correspondence na Osaka naamini atanisaidia. Nikifanikiwa ntarudisha mrejesho na nisipofanikiwa vile vile ntarudisha mrejesho.

Lazima utafanikiwa.
Tuendelee kuwasiliana.
 
Huyu aliesema yupo mission Sikonge inawezekana cz namie nipo hapa mission na akina KASANGA WAPO wengi kweli
 
Pole ndugu yangu,mm kuna kasanga ninaye mfahamu ni mwl wa Bagamoyo sec sasa sijui km bado yuko bagamoyo au la
 
Huyu aliesema yupo mission Sikonge inawezekana cz namie nipo hapa mission na akina KASANGA WAPO wengi kweli

Mary, wingi wa majina ya akina Kasanga siyo issue sana, kitu cha msingi ni kuuliza na kumpata Mr. JACOB GERSON KASANGA. Kwa vile uko Mission, ebu uliza Ukoo wa akina Kilomo. Nimejitahidi kuulizia, na nimeambiwa ameisha hamia vijijini. Bado nafanya follow up ni kijiji gani anapatikana.
 
Mary, wingi wa majina ya akina Kasanga siyo issue sana, kitu cha msingi ni kuuliza na kumpata Mr. JACOB GERSON KASANGA. Kwa vile uko Mission, ebu uliza Ukoo wa akina Kilomo. Nimejitahidi kuulizia, na nimeambiwa ameisha hamia vijijini. Bado nafanya follow up ni kijiji gani anapatikana.

Nitajaribu kufuatilia mkuu thanks for everything.
 
Mary, wingi wa majina ya akina Kasanga siyo issue sana, kitu cha msingi ni kuuliza na kumpata Mr. JACOB GERSON KASANGA. Kwa vile uko Mission, ebu uliza Ukoo wa akina Kilomo. Nimejitahidi kuulizia, na nimeambiwa ameisha hamia vijijini. Bado nafanya follow up ni kijiji gani anapatikana.

Owkeeee
 
Karibu sana Ndg yangu..

Mimi naitwa Onesmo Gerson Jacob Kassanga,ni mtoto wa mr.gerson jacob kassanga ambaye ni mfanyakaz wa kampuni ya magari iitwayo Nyumbu-TATC iliyopo kibaha katik kambi ya jeshi...ni wenyeji wa sikonge - Tabora.
Na sifa hzo zote ulizozitaja ndizo za baba yetu...

Naomba tuwasiliane 0674329928..
 
karibu sana Ndg yangu..
Mimi naitwa Onesmo Gerson Jacob Kassanga,ni mtoto wa mr.gerson jacob kassanga ambaye ni mfanyakaz wa kampuni ya magari iitwayo Nyumbu-TATC iliyopo kibaha katik kambi ya jeshi...ni wenyeji wa sikonge -Tabora.
Na sifa hzo zote ulizozitaja ndizo za baba yetu...
Naomba tuwasiliane 0674329928

hapo sasaaaa
 
karibu sana Ndg yangu..
Mimi naitwa Onesmo Gerson Jacob Kassanga,ni mtoto wa mr.gerson jacob kassanga ambaye ni mfanyakaz wa kampuni ya magari iitwayo Nyumbu-TATC iliyopo kibaha katik kambi ya jeshi...ni wenyeji wa sikonge -Tabora.
Na sifa hzo zote ulizozitaja ndizo za baba yetu...
Naomba tuwasiliane 0674329928

Good. Ila kama mama hajui kuwa mzee ana Mtoto mwingine muwe makini
 
Karibu sana ndugu yangu...
Mimi naitwa Onesmo Gerson Jacob Kassanga..Ni mtoto wa mr.Gerson jacob kasaanga,ambaye ni mfanyakazi katik kampuni ya magari iitwayo Nyumbu-TATC,ILIYOPO katika kambi ya jeshi ya nyumbu kibaha...sifa zote ulizozitaja ndizo alizonazo baba yetu...
Tuwasiliane sasa : 0674329928
 
karibu sana Ndg yangu..
Mimi naitwa Onesmo Gerson Jacob Kassanga,ni mtoto wa mr.gerson jacob kassanga ambaye ni mfanyakaz wa kampuni ya magari iitwayo Nyumbu-TATC iliyopo kibaha katik kambi ya jeshi...ni wenyeji wa sikonge -Tabora.
Na sifa hzo zote ulizozitaja ndizo za baba yetu...
Naomba tuwasiliane 0674329928
mgoshawampasa umeona hii?? Santa claus kakutembelea.
 
Last edited by a moderator:
Hapo sasa.
Kama anamke mwingine bonge la kesiiiiii.
Maana wazee wengi wanaficha watoto wao.
Ila la msingi sana ni bora watoto kutafutana wao kwa wao kama ilivyo.
DNA Muhim.Maana uhalisia wa nani Mbegu zake zimetunga Mimba siri yake anayo Mama.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom