Karibu sana ndugu yangu...
Mimi naitwa Onesmo Gerson Jacob Kassanga..Ni mtoto wa mr.Gerson jacob kasaanga,ambaye ni mfanyakazi katik kampuni ya magari iitwayo Nyumbu-TATC,ILIYOPO katika kambi ya jeshi ya nyumbu kibaha...sifa zote ulizozitaja ndizo alizonazo baba yetu...
Tuwasiliane sasa : 0674329928
I have ur number I will call you soon.aaah am 18 ,mwambie osaka anipatie namba yake,ya kwqngu ni 0674329928
..
Hope to hear from you,Soon!
Nashukuru kwa wote mliochangia mada hii nimechat na Onecmo na maelezo yake yanaoana na historia yote nilokuwa nayo na hivyo nashukuru nimempata mzee niliyekuwa na mtafuta nashukuruni sana. Kwahiyo japo sifungi mjadala lakini naamini msako wangu umefika tamati na mengine yatakayoendelea hayawezi kubadili ukweli kwamba nimempata niliyekuwa namtafuta. Shukrani za dhati kwa Osaka, Onecmo, jackline, na wengine wote mliojitoa na kutumia muda wenu kunisaidia kumtafuta na kwa kweli ndani ya muda mfupi nimempata baba yangu au at least wadogo zangu ambao nimechat nao. Lini ntakutana na Mzee ni matter of time. Thanks you all for everything.
Nashukuru kwa wote mliochangia mada hii nimechat na Onecmo na maelezo yake yanaoana na historia yote nilokuwa nayo na hivyo nashukuru nimempata mzee niliyekuwa na mtafuta nashukuruni sana. Kwahiyo japo sifungi mjadala lakini naamini msako wangu umefika tamati na mengine yatakayoendelea hayawezi kubadili ukweli kwamba nimempata niliyekuwa namtafuta. Shukrani za dhati kwa Osaka, Onecmo, jackline, na wengine wote mliojitoa na kutumia muda wenu kunisaidia kumtafuta na kwa kweli ndani ya muda mfupi nimempata baba yangu au at least wadogo zangu ambao nimechat nao. Lini ntakutana na Mzee ni matter of time. Thanks you all for everything.
Kuna Gersion Kasanga yupo nyumbu kibaha katika kiwanda cha kutengeneza magari ya nyumbu no mwenyeji was Tabora sikonge nadhani majina yanafanana sana
Asanteni sana kwa wote mliosaidia kupatikana kwa ndugu yangu, ni kweli ni ndugu yang kabisaa from the same father...
May Lord blesa yo'all ...
Appreciating on JF
Asanteni sana kwa wote mliosaidia kupatikana kwa ndugu yangu, ni kweli ni ndugu yang kabisaa from the same father...
May Lord blesa yo'all ...
Appreciating on JF