Namtafuta atakayenifaa maishani

Namtafuta atakayenifaa maishani

Hata hao B huwezi wapata, labda wasio jielewa, yaan B aliye smart n upstairs akufate wee? Ila inawezekana. Kunao wengine tunasikia wana wakurupukia watu pasipo kujua status zao za sex affairs. Lol
Daah asante kwa ushari dada mzuri, naomba maelekezo yako kwa ukaribu, umesema kwa siwezi kuwapata wanaojielewa kwanini?
 
Mwanaume hutakiw kusema wew ni jobless sema Kuna mchongo unausikilizia mwak huu mwishoni utatiki🤣🤣🤣
Nimejifunza hiyo... lakini honest ni nzuri pia unaweza kusaidika kupata huo mchongo kutoka kwa baby wako kuliko kujificha kuwa una mchongo una usubiri
 
Daah asante kwa ushari dada mzuri, naomba maelekezo yako kwa ukaribu, umesema kwa siwezi kuwapata wanaojielewa kwanini?
Sasa B atakufataje wee? Ikiwa sio chaguo lako? Hata km usingeweka ⚠️, bado isingekua 7bu ya wao kuja kukusumbua.
 
Mkuu ni kweli unataka kuoa ama unataka uchukue tu michango yetu ufanyie mambo yako mengine 😜

Hata hivyo tukupongeze Kwa hatua uliyofikia, wenzio Kataa Ndoa hawataki hata kusikia hayo mambo ya Ndoa 🤗
Naoa ndoa ya mkeka Mkuu 😁
 
Back
Top Bottom