Ni mjanja mjanja hawa itakuwa ni zile pisi nyembamba ila akili zipoCocastic atakua mzoefu kuwafaham bila shaka🤔
Asa itakuaje kwenye huu utafiti😂Ni mjanja mjanja hawa itakuwa ni zile pisi nyembamba ila akili zipo
Hakuna cha utafiti hapa bwashee , dunia inatuhitaji tuwe bize na kazi tu.Asa itakuaje kwenye huu utafiti😂
Wanaume wanapungua① Photo
Doubble tap to open
Kazi zenyewe umeziona Sasa ni vilio tu🤔Hakuna cha utafiti hapa bwashee , dunia inatuhitaji tuwe bize na kazi tu.
Ka nyamwi mwenetu hajambo?① Photo
Doubble tap to open
😂😂😂 Kumeanza kuchangamkaMwanaume hutakiw kusema wew ni jobless sema Kuna mchongo unsusikilizia mwak huu mwishoni utatiki🤣🤣🤣
Kaka nilipo naosha vinyesi vya wazee yaani professional mharo wiper, acha mbaga za kujinyanyapaa, na watu tuna make dooo.Kazi zenyewe umeziona Sasa ni vilio tu🤔
Hili jambo Lina mwisho wake tupeni mda kwanza 😂😂😂Mkuu ni kweli unataka kuoa ama unataka uchukue tu michango yetu ufanyie mambo yako mengine 😜
Hata hivyo tukupongeze Kwa hatua uliyofikia, wenzio Kataa Ndoa hawataki hata kusikia hayo mambo ya Ndoa 🤗
Isije kuwa ubavu wake alipikav supu alivokosa ela ya kula anakuja kutusumbua sahiz🤣🤣🤣😂😂😂 Kumeanza kuchangamka
Hiii sasa itakua ni SA apo uko vizuri napiga lkn hapa bongo utapata ni masimango tuKaka nilipo naosha vinyesi vya wazee yaani professional mharo wiper, acha mbaga za kujinyanyapaa, na watu tuna make dooo.
Nikiona comment yako naona mavyakula , ila mimi kama katibu wa majobess naomba utoe hoja mbili za kutetea comment yako.Mwanaume hutakiw kusema wew ni jobless sema Kuna mchongo unausikilizia mwak huu mwishoni utatiki🤣🤣🤣
Vijana wanahudhuria vikao vyao balaa tusahau tu kuhus kuolewa hawatak kabisaMkuu ni kweli unataka kuoa ama unataka uchukue tu michango yetu ufanyie mambo yako mengine 😜
Hata hivyo tukupongeze Kwa hatua uliyofikia, wenzio Kataa Ndoa hawataki hata kusikia hayo mambo ya Ndoa 🤗
😂😂😂Kwanza mwenyew yuko wapiIsije kuwa ubavu wake alipikav supu alivokosa ela ya kula anakuja kutusumbua sahiz🤣🤣🤣
SA nilienda kipindi nimemaliza olevelHiii sasa itakua ni SA apo uko vizuri napiga lkn hapa bongo utapata ni masimango tu
Mda ukifika tutakuja wenyew hili jambo linahitaji ufukiri wa Hali ya juuVijana wanahudhuria vikao vyao balaa tusahau tu kuhus kuolewa hawatak kabisa
Connection plsSA nilienda kipindi nimemaliza olevel