Namtafuta atakayenifaa maishani

Namtafuta atakayenifaa maishani

Ba
Hahaha...........karibuni Kijijini, Babu yenu ninao Wajukuu wakutosha tu

Nilivyomisi kuozesha, nitawachinjia ng'ombe 20 kama zawadi yangu Siku hiyo 🤗
Babu unanikumbusha maisha ya vitabu vya elimu ya msingi kwamba tulisafiri umbali mrefu tukafika kijijini kwa babu ,nae babu alitusimulia hadithi chini ya mwembe🤣
 
Vijana wanahudhuria vikao vyao balaa tusahau tu kuhus kuolewa hawatak kabisa
Kwani Mjukuu yule Mume uliyekuja kumtambulisha Mwezi Uliopita amerara mberee?😜

Ngoja tutengeneze dawa ili Kila Mwanaume atakayekuona akuone kama Tanzanite ya Mererani ama Dhahabu ya Geita

Mwaka huu lazima tule biryani la harusi yako 🤗
 
Babu unanikumbusha maisha ya vitabu vya elimu ya msingi kwamba tulisafiri umbali mrefu tukafika kijijini kwa babu ,nae babu alitusimulia hadithi chini ya mwembe🤣
Hahaha..............Unajua Wazee ni kama vitabu, tunazo hadithi nyingi vichwani mwetu kutokana na maisha tuliyoishi Mwaka 47 🤗
 
Hivi shangingi huwa ana sifa gani
Mshangingi lazima age imeenda kidogo, alafu linajiremba kwelikweli mixer kujipenda. Wakat huo linanukia si mchezo, akiingia kwemye dera yani dera lemyewe linatepeta na kila hatua linalokanyaga ina nukta. Huko nyuma na bode ukiliangalia mpaka unaona kabisa hapa mm leo nile nishibe kabla sijadinda nisije kuumbuka njiani

Unavijua vipepeo vya kizamani vile vya mkeka?
 
Kwani Mjukuu yule Mume uliyekuja kumtambulisha Mwezi Uliopita amerara mberee?😜

Ngoja tutengeneze dawa ili Kila Mwanaume atakayekuona akuone kama Tanzanite ya Mererani ama Dhahabu ya Geita

Mwaka huu lazima tule biryani la harusi yako 🤗
Alivorudi kutoka kwenye kikao akaghairi na mahali kasamehe kasema ndoa ni utapeli 🤣🤣
 
Mshangingi lazima age imeenda kidogo, alafu linajiremba kwelikweli mixer kujipenda. Wakat huo linanukia si mchezo, akiingia kwemye dera yani dera lemyewe linatepeta na kila hatua linalokanyaga ina nukta. Huko nyuma na bode ukiliangalia mpaka unaona kabisa hapa mm leo nile nishibe kabla sijadinda nisije kuumbuka njiani

Unavijua vipepeo vya kizamani vile vya mkeka?
Hahahah kumbe uka sio kwa lamo ,haka ka lamo ni katoto ka 2000 tu hapa
 
Nikiona comment yako naona mavyakula , ila mimi kama katibu wa majobess naomba utoe hoja mbili za kutetea comment yako.
Unapenda kula wewe 😃😃😃
Sikuhiz nimekuwa mchoyo wa recipe ngoja niwaletee ya makande 😂😂

Ndugu katibu hoja yangu mwanaume hutakiw kusema Hela hauna ni dharau kubwa sana unatakiwa useme mchongo unakamilika muda wowote wewe ni bilionea huku unausikilizia mikeka Yako ya kubet 🤣🤣🤣
 
Unapenda kula wewe 😃😃😃
Sikuhiz nimekuwa mchoyo wa recipe ngoja niwaletee ya makande 😂😂

Ndugu katibu hoja yangu mwanaume hutakiw kusema Hela hauna ni dharau kubwa sana unatakiwa useme mchongo unakamilika muda wowote wewe ni bilionea huku unausikilizia mikeka Yako ya kubet 🤣🤣🤣
Ya bush au town
 
Alivorudi kutoka kwenye kikao akaghairi na mahali kasamehe kasema ndoa ni utapeli 🤣🤣
Ungependa aje lini kutangaza hiyo Ndoa?

Nimeshampigia simu Mzee wa Mila wa Mkoa kuhusu jambo lako, amesema tuanze vikao vya harusi yenu kabisa 😜
 
Back
Top Bottom