akili_ninazo
Member
- Mar 18, 2025
- 69
- 144
- Thread starter
- #161
Mkuu, wewe unashauri anipe nafasi wapi, moyoni au rohoni😂😂Kwahiyo haumpi nafasi moyoni?ðŸ¤ðŸ˜…
Mkuu, wewe unashauri anipe nafasi wapi, moyoni au rohoni😂😂Kwahiyo haumpi nafasi moyoni?ðŸ¤ðŸ˜…
Watu bana washachanganyikiwa na hawajuiMkuu, wewe unashauri anipe nafasi wapi, moyoni au rohoni😂😂
Kuja wapi na kukataa wapii mkuupenda kote mwanzo, kati na mwisho.
unajifanya unakuja alafu unakataa... Hujui ndege mjanja ndio ananasa kweny tundu bovu. 😂
Hahaha 😂, kama wewe haulipwi kwa top layer basi fahamu ya kuwa wenzako wanalipwa kwa top layer.Tuheshimiane mm silipwi kwa top layer
Ndio maana mama yangu nampenda sana , huyu na mama x wife zangu ndio wanawake nawapenda kuliko wote .Itakuwa aliona ubavu umekuja dunian ukiwa umepinda mama akaaona waasije kuniulia mwanangu😂
Toto wewe 😂Nakuwaga na haraka tatizo😆😆,.
Sawa
Nilikuwa nakula canteen onlyHahaha 😂, kama wewe haulipwi kwa top layer basi fahamu ya kuwa wenzako wanalipwa kwa top layer.
Usiwaze sana zamu yako itafika na wewe utachanhanyikiwaWatu bana washachanganyikiwa na hawajui
Aaah me mbn kitambo hii nchi wote washachanganyikiwa mbnUsiwaze sana zamu yako itafika na wewe utachanhanyikiwa
zimejaa(wangapi?) ImejaaZimejaa
Mtalii maskini wewe.. nataka nikutup bawe island pale ulipe 3 m per night mzee wiki tu huna hata mia wallahNikija bongo now ni Serengeti na mikumi tu , nikitoka hapo naenda njombe basiii
Hadi za akiba ,. Wako wanasubiri niachwe waweke kambi .zimejaa(wangapi?) ImejaaView attachment 3328917
Kaka mil 3 mimi naitengeza kwa saa wewe haushtuki tu? Hivi kumbe huwa mnamchukulia Jack sparrow kirahisi rahisi tu humu?Mtalii maskini wewe.. nataka nikutup bawe island pale ulipe 3 m per night mzee wiki tu huna hata mia wallah
Serious 😃Toto wewe 😂
Nimesahau🤤🤤Weeeeeee ndio kinaitwaje vile
YeahSerious 😃
Na kweli nimelewa na mbaya zaidi sina madeni kabisa 😅😹😹 Umeanza lini kunitaka min?
Mshalewa sasa chochote mnaongea kwa raha zenu..!!
Pombe za weekend zimekimbilia chini, hapo bado kipande chako cha sabuni ujimalize 😹😹😹Mshang-ngaaaaaz wa haja! Tako tako ndani ya dera. Miwanja hiyo! Limama flani hivi linanukiaaaaa! Dah lamomy shangingi kwelikweli wallahi