Namtafuta atakayenifaa maishani

Namtafuta atakayenifaa maishani

Hata hao B huwezi wapata, labda wasio jielewa, yaan B aliye smart n upstairs akufate wee? Ila inawezekana. Kunao wengine tunasikia wana wakurupukia watu pasipo kujua status zao za sex affairs. Lol
 
We unikome mi wa nineteen fifty kweusi 😹😹😹
Acha kunifananisha na vitoto, sisi ndo tumewaletea uhuru huu mnaotamba nao..!! 🤣😹😹
Wewe kabinti kadogo labda ka 95 mpaka 99 hivi😆
 
Habarini za sasa.

Mvua dar zinaendelea kupiga mfululizo hazikati na ndio zimenipa shauku ya kuandika huu walaka.

Akili_ninazo ni kidume mrefu wembamba kwa umbo, nipo singo na nina ugwaduu wa mahusiano sijakumbatia mwanamke kw kipindi kirefu sasa ususani kwnye hali ya hewa kama hii

enyi mabinti na mishangazi ya jeiefu mkuje Pm tufanye uchanguzi wa ki logical, kihisia na kisaikologia kutokomeza upweke wa akili_ninazo kabla sijapata mawazo machafu ya kupiga punyeto na mwishoo kuukosa ufalme wa Mungu.

Akili_ninazo mimi ni kijana mwenye libido ya kutosha lakini ni jobless, u jobless wangu chronic umenifanya nikose wachumba wengi nikijisemea "nikimpata nitampa nini huyu zaidi ya uzinz tu"
na nimeweza kuwakwea wengi kwa kujifariji sina cha kuwapa, lakini hear me out mabinti na mishangazi ya jf Akili_ninazo nina ugwaduu / hamu ya mapenzi na mahusiano asee njoeni tu mwanzo nitawapa dudud na mahaba hayo mengine yatakuja kwa influence ya dudu na mahaba tuliyopeana.


Pm ipendeze

Sitaki madume jike (lgbtiqwyz) Njia ni moja tu iendayo uzimani ipo mlango wa mbele.


karibuni.
Kushaanza kuchangamka Wacha waje chief libido walitoe
 
Back
Top Bottom