Namtafuta atakayenifaa maishani

Namtafuta atakayenifaa maishani

Sitaki madume jike (lgbtiqwyz) Njia ni moja tu iendayo uzimani ipo mlango wa mbele.







🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🖐️🤣🖐️
 
Hahaha..............Unajua Wazee ni kama vitabu, tunazo hadithi nyingi vichwani mwetu kutokana na maisha tuliyoishi Mwaka 47 🤗
Hahahaha siku nikiwa babu nahisi nitakua babu bora sana kichwa changu kina maelfu ya hadithi na riwaya za kitambo mno
 
Babu tuna wadonoa ila ndoa ndio vigumu
Kumbe kuonja mnawaonja?

Mbona sisi mwaka 47 ilikuwa haturuhusiwi kuonja hadi Ndoa

Kweli Vijana mnafaidi 😜🙌

Ndiyo maana mmeona hakuna haja ya kufuga ng'ombe wakati mna uhakika wa maziwa 🤗
 
Hahahah kumbe uka sio kwa lamo ,haka ka lamo ni katoto ka 2000 tu hapa
Akikosa age kidogo y chini kabisa 45. We unaona sahiv anacomment mada hizi za kigen z. Mm lamomy nishamfatilia toka anaweka comment ya kwanza jf.. sio mtu tu! Ni mtu mwenye heshima zake ila bas tu
 
Kumbe kuonja mnawaonja?

Mbona sisi mwaka 47 ilikuwa haturuhusiwi kuonja hadi Ndoa

Kweli Vijana mnafaidi 😜🙌

Ndiyo maana mmeona hakuna haja ya kufuga ng'ombe wakati mna uhakika wa maziwa 🤗
Kabisa Babu ebu assume mimi jack sparrow now nishadonoa , nimekula nyama nyingi na nina vitega uchumi vyangu , hapa mtoto amara toka vyungu vituka ana ndoto za kudonolewa namtu kama mimi halafu kapata namba yangu kwenye gazeti la tenda zinazotolewa na serikali akaomba aongee na boss🤣🤣🤣🤣
 
Kabisa Babu ebu assume mimi jack sparrow now nishadonoa , nimekula nyama nyingi na nina vitega uchumi vyangu , hapa mtoto amara toka vyungu vituka ana ndoto za kudonolewa namtu kama mimi halafu kapata namba yangu kwenye gazeti la tenda zinazotolewa na serikali akaomba aongee na boss🤣🤣🤣🤣
Hahaha..........kweli Vijana mnafaidi

Na nimesikia mabinti za miaka hii ni hodari sana maeneo 😜
 
Mshangingi ndio ile inakuwa minene alafu wakitumia mikorogo inadunda, Yani utamkuta uso mweupe lakini pua na masikio ni vyeusi, inalewa kupitiliza na inapenda ubabe ubabe.

Kuna na buzzi sijui ndio wakoje
Umetisha blaza na sio braza
 
Back
Top Bottom