Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,884
- 155,867
Wakuu naona wengi mmebisha hii sentensi....
Nilipigwa kibuti assemble, my boyfriend was head prefect. Akautangazia umma wa wanafunzi kuwa ameniacha.
Mnasema kuwa haiwezekani.. Mtoa Hoja amesema alipigwa kibuti Assemble Mtoa hoja hajasema kwamba walikuwepo wanafunzi wote Assemble labda ilikuwa assemble hall wakiwepo watu wachache bila waalimu na pia issue ya kwamba aliutangazia umma wa wanafunzi hajasema kwamba aliwakusanya wote alafu akawatangazia..., labda alianzisha romours za kwamba amemwacha na watu wote wakajua.... Therefore kwenye Paragraphs alizotoa its audible na inaweza kutokea.... "Swali la kama did it really Happen...., Siwezi Kujua..., Can it Happen.., Ofcourse Yes"
Haya sasa ni maelezo yako binafsi, huwezi kutufundisha jinsi ya kusoma na kuelewa, tunafahamu vizuri maana ya viwakilishi na vivumishi, kama hii story imekunogea ongezea na uongo wako mwingine funguwa thread nyingine kwamba Gilfriend wako wa zamani umemkuta anauza mataputapu. ni uhodari wako tu wa tungo.
Kungekua hamna watu kusingekua na umuhimu wa kupataja maana kusingekua na chochote cha ajabu....ni sawa na kumhadithia mtu kwamba mlitukanana mkiwa nyumbani tena chumbani wakati kusema nyumbani tu inatosha!Wengi walivyoelewa au niseme alichomaanisha ni kwamba kufanya hivyo huyo kaka alimdhalilisha....na kuachwa wakiwa assembly (empty) hakudhalilishi.Kwa maana hiyo kulikua na watu...na hichi ndicho ambacho hakiwaingii watu akilini kwamba kaka wa shule anaweza kusimama pale mbele kitu ambacho kingeweza kumuingiza matatizoni kwa kubainika wanaendekeza mapenzi shuleni!Mkuu wewe kama umesoma umeelewa zaidi ya mtoa mada huo ni uwezo wako mwenyewe.., lakini huwezi kubadilisha story kwamba haikutokea hivyo sababu ya uelewa wako mkubwa..., Issue hapa ni kwamba Prefect/Boyfriend wake wa zamani asingeweza kumkataa Assembly..., Na mimi nimeonyesha jinsi ambavyo angeweza kumkataa Assembly..., Both of Us tunatumia Paragraph alizotoa mtoa mada ili kuelewa Story.....Ofcourse haya ni maelezo yangu binafsi kuelezea kwamba ni possible hii issue kutokea kama wewe maelezo yako yalivyo binafsi kusema kwamba mtoa mada amedanganya....,
Kungekua hamna watu kusingekua na umuhimu wa kupataja maana kusingekua na chochote cha ajabu....ni sawa na kumhadithia mtu kwamba mlitukanana mkiwa nyumbani tena chumbani wakati kusema nyumbani tu inatosha!Wengi walivyoelewa au niseme alichomaanisha ni kwamba kufanya hivyo huyo kaka alimdhalilisha....na kuachwa wakiwa assembly (empty) hakudhalilishi.Kwa maana hiyo kulikua na watu...na hichi ndicho ambacho hakiwaingii watu akilini kwamba kaka wa shule anaweza kusimama pale mbele kitu ambacho kingeweza kumuingiza matatizoni kwa kubainika wanaendekeza mapenzi shuleni!
Haya mkuu....!Kwanini kungekuwa hakuna haja ya kupataja Assembly (wakati aliachwa Assembly) kutokuwa na watu au kuwa na watu hakubadilishi Assembly iitwe jina lingine, pia huenda walikuwepo wanafunzi wachache ambao walispread the romour hence mtoa hoja kudhalilishwa..... Its all Possible alafu huenda maneno aliyoyasema ni kumwambia "unikome na uache kunifatafata..., ) To me that is the same as kuachwa na sidhani kama ingeweze kumletea matatizo..., keeping in mind kwamba walikuwepo wanafunzi wachache..... Je is this not possible?
Mhhh tusikubaliane kirahisi hivyo tuseme hii story angeitoa mtu ambae hana historia ya kutokuaminika je isingeaminika...?Haya mkuu....!
Mi hata sijui ndo maana sikuchangia tokea mwanzo.Na kuumiza kichwa kufikiria kitu ambacho kinaweza kua ni hadithi ya kufikirika tu kwakweli SITAKI!!Haya mpe ushauri....,Mhhh tusikubaliane kirahisi hivyo tuseme hii story angeitoa mtu ambae hana historia ya kutokuaminika je isingeaminika...?Na kama ingeaminika, je haiwezekani kwamba tangia juzi mtoa mada amebadilika sasa anaongea ukweli tu uongo kwake mwiko....?Mhh niambia kama that is not possible...?
Probably........ !!!Mi hata sijui ndo maana sikuchangia tokea mwanzo.Na kuumiza kichwa kufikiria kitu ambacho kinaweza kua ni hadithi ya kufikirika tu kwakweli SITAKI!!Haya mpe ushauri....,
Bado naendelea kuamini hii stori ni ya uzushi....TUPA KULE!Leo nimemkuta Posta Mpya, ni mchafu anadandia mabasi. Anawahi siti kupitia madirishani ili wenye kuhitaji siti wampatie ujira wa sh. 500.
Tulikutana naye mwaka 2004 tukiwa form 5.
Tulipendana naye napenzi ya dhati, kama gari na matairi ndivyo tulivyokuwa.
Form six tulipoingia, kuna dada mrembo sana, kwa kuwa boyfriend wangu huyu alikuwa na uwezo sana darasani wasichana wengi wakawa wakimfuata ili awafundishe huku moyoni wakiwa na yao. Miongoni mwa waliokuwa wakimfuata boyfrend wangu ni pamoja na mgeni huyu aliyehamia. Sijui alitumia mbinu gani, akamnyakuwa wangu wa moyo. Nilipigwa kibuti assemble, my boyfriend was head prefect. Akautangazia umma wa wanafunzi kuwa ameniacha. Niliumia sana, nikamwachia Mungu.
Tukiwa kwenye likizo ya kusubiri majibu, nikasikia eti my ex boyfriend kapelekwa jela kwa wizi. Sista duu alikuwa anahitaji mambo makubwa, ambayo ili my ex ayamudu ilimbidi aibe na kukwapua. Bahati mbaya za mwizi arobaini, akakamatwa na kufungwa kifungo cha miaka mitatu. Majibu yakatoka, alikuwa amefaulu vizuri sana, one ya point nne PCB.
Sikuwahi kumuona tena ndio namuona leo akiwa ni teja, hana mbele wala nyuma.
mlikuwa na ndoa? Shule gani hiyo inaruhusu mahusiano ya kimapenzi hadharani hivyo mpka mtangaziane kuachana?... Mi napata shida kuamini hii story ya Nazjaz!..
Hivi Nazjaz haya ni ya ukweli au ume-create story hapa? Mwanafunzi hata akiwa head prefect, hana mamlaka ya hivyo aise, inamaana shule nzima hata waalim walikuwa wamehalalisha uhusianao wenu? hiyo ilikuwa ndoa shuleni au?
Na ninavyofahamu mimi, ukiwa head prefect ( mimi nilikuwa head prefect pia naelewa) unapotoa matangazo mstarini mwalim wa zamu anakuwepo mstarini. Na siku zote kiongozi unatakiwa kuwa mfano, na hakuna shule inayoruhusu mapenzi shuleni, hiyo ya kwenu itakuwa ya kwanza kwa tz hii!!!!!!!
Hata kama mwalim wa zamu hayupo huwezi in anyhow kutangaza upuuzi huo mstarini. ndo najiuliza hii story ni ya kupika au? Any way pokea ushauri kisha tuletee matokeo ikiwezekana mtaje jina huyo kaka na picha yake iewe jamvini ili waungwana wamsaide.
Kwenye blue hapo Shule gani inayoruhu upuuzi na ujinga kama huo? We Muongo tena koma kudanganya zaidi ya watu elfu 20
Kwenye red hapo dada hakuna, kibaka anayekaa jela zaidi ya miezi 3,vibaka wangapi kitaa anakwapua leo kesho asubuhi yupo nje hii ni FIX
Hii hadithi umejaribu kuitunga vizuri sana, na wachangiaji wengi wameingia ndani ya kumi na nane zako............lakini wajanja kama mimi babu yenu ODM, hata kama ulikuwa unasoma NGONO ACADEMY..... hakuna kitu kama hicho kwenye red kinachoweza kutokea!!!
HAKUNA!......Tupa kule!
Haya sasa ni maelezo yako binafsi, huwezi kutufundisha jinsi ya kusoma na kuelewa, tunafahamu vizuri maana ya viwakilishi na vivumishi, kama hii story imekunogea ongezea na uongo wako mwingine funguwa thread nyingine kwamba Gilfriend wako wa zamani umemkuta anauza mataputapu. ni uhodari wako tu wa tungo.
Kungekua hamna watu kusingekua na umuhimu wa kupataja maana kusingekua na chochote cha ajabu....ni sawa na kumhadithia mtu kwamba mlitukanana mkiwa nyumbani tena chumbani wakati kusema nyumbani tu inatosha!Wengi walivyoelewa au niseme alichomaanisha ni kwamba kufanya hivyo huyo kaka alimdhalilisha....na kuachwa wakiwa assembly (empty) hakudhalilishi.Kwa maana hiyo kulikua na watu...na hichi ndicho ambacho hakiwaingii watu akilini kwamba kaka wa shule anaweza kusimama pale mbele kitu ambacho kingeweza kumuingiza matatizoni kwa kubainika wanaendekeza mapenzi shuleni!
Wakuu naona wengi mmebisha hii sentensi....
Nilipigwa kibuti assemble, my boyfriend was head prefect. Akautangazia umma wa wanafunzi kuwa ameniacha.
Mnasema kuwa haiwezekani.. Mtoa Hoja amesema alipigwa kibuti Assemble Mtoa hoja hajasema kwamba walikuwepo wanafunzi wote Assemble labda ilikuwa assemble hall wakiwepo watu wachache bila waalimu na pia issue ya kwamba aliutangazia umma wa wanafunzi hajasema kwamba aliwakusanya wote alafu akawatangazia..., labda alianzisha romours za kwamba amemwacha na watu wote wakajua.... Therefore kwenye Paragraphs alizotoa its audible na inaweza kutokea.... "Swali la kama did it really Happen...., Siwezi Kujua..., Can it Happen.., Ofcourse Yes"
Kwanini kungekuwa hakuna haja ya kupataja Assembly (wakati aliachwa Assembly) kutokuwa na watu au kuwa na watu hakubadilishi Assembly iitwe jina lingine, pia huenda walikuwepo wanafunzi wachache ambao walispread the romour hence mtoa hoja kudhalilishwa..... Its all Possible alafu huenda maneno aliyoyasema ni kumwambia "unikome na uache kunifatafata..., ) To me that is the same as kuachwa na sidhani kama ingeweze kumletea matatizo..., keeping in mind kwamba walikuwepo wanafunzi wachache..... Je is this not possible?
Halafu watu wake wote kwenye thread zake anakutana nao posta mpya ...lolBado naendelea kuamini hii stori ni ya uzushi....TUPA KULE!
Na hwa hapa chini ni magreat thinkers
Na huyu hapa chini ni mbishi wa kimataifa........ Hebu angalia hapo kwenye red....AKAUTANGAZIA UMMA WA WANAFUNZI.......... Mkuu unajua maana ya KUTANGAZA? na najua maana ya MBELE? na unajua maana ya UMMA? Kama hujui, basi endelea kumshauri kama alivyokusihi Lizzy hapo juu....
Aiseee