Desierto
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 852
- 2,976
- Thread starter
- #21
Unatuonaje jamani? Wee si umetoka kutudanganya kuwa ulikuwa unalala Msasani beach unajifunika na mchanga?
Kilichonitokea kituo cha Daraja la Salenda baada ya kushuka kwenye daladala saa nne usiku
Nakumbuka nikitokea maeneo ya Slipway baada ya boss wangu kunipa laki moja nikatafute samaki, Nikaenda msasani nikakosa hivo nikaona niende feri, nikapanda gari la kwenda Kariakoo tulipokaribia Salender nikamwomba konda anishushe hapo, konda kwa mshtuko, unasema? Nikamwambia tena nishushe...
