Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,923
- 30,033
Watu hawatumiagi lugha ngumu kutongoza kaka, lazima abembeleze ndudeeee bhana naomba nikiri wazi kabisa kwamba tangu nimfahamu huyu dada sijawahi kumuona akiandika maandishi nyororo namna hii !!!
Watu hawatumiagi lugha ngumu kutongoza kaka, lazima abembeleze ndudeeee bhana naomba nikiri wazi kabisa kwamba tangu nimfahamu huyu dada sijawahi kumuona akiandika maandishi nyororo namna hii !!!
Ushauri kwa Ben Saanane mkuu uwe unaangalia watu wa kusimamia show...sasa unaona binti anakuja kulia huku JF
Pia usisimamie show sana....Huyu binti ana stress za kutokuyapata hayo mambo siku hizi
Nimesikia anataka UBUNGE kwao ROMBO - TARAKEA, na ameenda katika sura yake ile ile ya UADUI, sura ya Purukushani na Kinyongo, lakini baya zaidi nililosikia na kunisikitisha ameanza kuchonganisha wenzake, kama ilivyo kawaida yake.
Sasa kama anachonganisha wenzake si unatakiwa ufurahi kwamba CDM inabomolewa??
Unless kama una mengine ambayo umeyaongea alternatively hapa..
Hahaaaa
Si ndo hapo mkuu
Hizi huruma zinatoka wapi!!!?
Hapa hoja ni Mkwaju wala sio siasa
Unahisi atakua amekumbukia nini kwa Ben huyu binti?Kuponda kote CDM humu ndani leo anawapa ushauri wa wazi kabisa.. Ajabu hii, awaache wavurugane na Ben tu..
Huyu kuna kitu kakumbuka huyu si bure teh teh teh
Unahisi atakua amekumbukia nini kwa Ben huyu binti?
teh teh teh kuna mkuu hapo juu kasema kaukumbuka mkwaju..
Hapa hoja ni Mkwaju wala sio siasa
Sikuelewi! umesema: MKWAJU, FIMBO, BAKORA,MKONG'OTO, MTWANGIO, MAPIGO, MCHAKAZO, MKASI,MSHALE,MLINGOTI, MTANANGE.........yote haya yako kwa Ben!
Ila kwa idadi ya mikwaju iliyopita hapo akiamua kuikumbuka yote anaweza kupiga show daily kwa mwaka mzima bila kurudia
Umeshauri wasioshaurika...
Nakushauri wewe SIASA SIO MAPENZI