babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,222
- 3,176
Unadai una msimamo na kuabudu unachokiamini lakini hapa chini unajipinga mwenyewe!!sikuwahi kuishi kwa mitego mitego na ulaghai katika maisha yangu ya siasa, niliishi kwa misimamo na kuabudu nilichokiamini, nilikuwa hivyo na nipo
Contradiction at its best!SIASA haifanywi namna unavyotaka kufanya wakati mwingine siasa ni Upepo, fuata unavyovuma, Usishindane nao...hauwezi kushindana na Upepo ukaushinda...na SIASA sio UADUI