Namshauri Ben Saanane, Siasa sio Uadui

Namshauri Ben Saanane, Siasa sio Uadui

Ushauri kwa Ben Saanane mkuu uwe unaangalia watu wa kusimamia show...sasa unaona binti anakuja kulia huku JF

Pia usisimamie show sana....Huyu binti ana stress za kutokuyapata hayo mambo siku hizi
 
Last edited by a moderator:
Hatuwezi Tukawafulahia Watu Mnaosababisha Ndugu Zetu Wamekufa Kwa Kukosa Dawa Maospalini, Watu Mnaosababisha Watoto Wetu Wanakaa Chini Mashuleni Kwa Kukosa Madawati, Watu Mnaosabisha Watu Njaa Kwa Ugum Wa Maisha, Huku Nyinyi Mkiita Milioni Kumi Hela Za Mboga, Bilion Vijisent, Laki Tano Posho La Kull, Tuanzeje Kuwa Malafiki Na Nyie Mnaocheza Na Maisha Ya Watu? Binafs Mwanamke Alie Ccm Siwezi Kumtongoza Hata Angekuwa Mzuri Kama Cleopatra, Kwahiyo Nampongeza Mawazo Kwakukukatia Mawasiliano, Hatuhitaji Urafiki Na Watu Kama Nyinyi Ususani Wakat Kama Huu.
 
Namshauri Ben Saanane, Siasa sio Uaduai.

Zamani kidogo, niliwahi kuwa na rafiki, rafiki ambaye nilimuamini, nikafanya nae kazi kwa ukaribu na kumshirikisha katika mambo yangu mengi. Wakati mwingine Urafiki unazidi Undugu, ndivyo ilivyokuwa kwangu na rafiki yangu huyu, alikuwa kama ndugu au zaidi ya ndugu Kwangu.

Nilipokutana nae, nilitambulishwa kwake kuwa huyu ni "mwenzetu" nami nikamchukulia kuwa ni "mwenzangu" kwani sikuwahi kuishi kwa mitego mitego na ulaghai katika maisha yangu ya siasa, niliishi kwa misimamo na kuabudu nilichokiamini, nilikuwa hivyo na nipo hivyo.

Namzunguzia Ben Saanane, kama mwanaharakati, rafiki na ndugu yangu. Namjua kwa kiasi kikubwa, naijua hulka na tabia zake, nasikitika kukiri mbele ya jukwaa hili kuwa ndugu yangu huyu SI MTU WA KUAMINIKA, mwenye Kinyongo, anayependa UADUI na PURUKUSHANI.

Nimesikia anataka UBUNGE kwao ROMBO - TARAKEA, na ameenda katika sura yake ile ile ya UADUI, sura ya Purukushani na Kinyongo, lakini baya zaidi nililosikia na kunisikitisha ameanza kuchonganisha wenzake, kama ilivyo kawaida yake.

Naomba nikushauri kupitia jukwaa hili, maana simu yangu siku hizi haupokei (UADUI), SIASA haifanywi namna unavyotaka kufanya wakati mwingine siasa ni Upepo, fuata unavyovuma, Usishindane nao...hauwezi kushindana na Upepo ukaushinda...na SIASA sio UADUI.

Unamanisha hata wakati unaenda kuvunja ile amri sijui ya sita inayokataza kuzini ulikua unamshirikisha? Nauliza tu lakn Juliana Shonza.
 
Siasa ni uadui....kama vibaya utamalizwa.....wewe unacheza na siasa...ouko aliuwawa na moi kwasb ya siasa...wewe unakuja kutuletea ujinga hapa eti siasa ni utani,upendo....siasa ni uadui ndio maana hata lipumba alipigwa na mapolisi waliotumwa...

Nilishasema kwamba huyu mwanamke anatumia mbinu ya kuprovoke watu hapa JF ili atukanwe na atumie hilo km kigezo cha kufikiriwa viti maalum huko CCM. Othewise hakuna mwanamke anayejiheshimu anaweza kuvumilia dhalili yote hii huku chanzo akiwa yeye mwenyewe. Halaf namshangaa huyo mume anayemruhusu mke wake kujidhalilisha namna hii kwa sababu ya viti maalum. Naye atakuwa ni mme -----. Hivi viti maalum havipatikani mpaka uidhaliishe hivi. Halafu sioni ccm wenzake wakimsapoti zaidi ya 'masalia' ACT. Juliana, Inaonekana hata vjana wnzako huko ccm hawakukubali. Unasubiria tu mbeleko ya Mwigulu.

Ila natamani kumjua mume wako maana anatuabisha!
 
eee bhana naomba nikiri wazi kabisa kwamba tangu nimfahamu huyu dada sijawahi kumuona akiandika maandishi nyororo namna hii !!!
 
Ben Ben Ben unamletea stress mdada wa watu!!!!
Juliana polee kumpata Ben tena ni ngumu yuko owned. Tulia tu hivyohivyo kwa mumeo hata kama hakuridhishi.
 
Ben huu mchepuko aka mlupo ulishawahi kuupitia japo kwa bahati mbaya hapo kabla kaka?? Maana inaonekana kama amekuzimikia hivi sema hataki tu kusema.
 
Naweza kuitafsiri Thread hii kama Kuomba Msamaha...Yaan Shonza Anaomba Msamaha....Warudie urafiki....Read Between the Line..
 
Juliana shonza Ben na wewe wapi na wapi!!!?? naona umeanza kujipendekeza mapema,Ben hawezi
kushauriwa na mtu asiyejitambua kama wewe[/B]
 
Back
Top Bottom