Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Acha hizo wewe uko huko na *sharobaro* wako halafu unajifanya umekuja
huku nipo na papaa mukulu kulu. Sharobaro nani huyo?
Acha hizo wewe uko huko na *sharobaro* wako halafu unajifanya umekuja
Uko na Pedeshee ndama mutoto ya ng'ombehuku nipo na papaa mukulu kulu. Sharobaro nani huyo?
hapana ndugu c kwamba ni shetan,huyu dada michango yake huwa zimesimama na wala c maanish kihvyo!kwel unanifuatilia.mnh mtoa mada si juzi juzi hapa tulikuwa tunakushauri kuiokoa ndoa yako isiyo na mtoto leo unampenda dada judith??? shetani anainyemelea ndoa yako!:tape::tape:
Uko na Pedeshee ndama mutoto ya ng'ombe
Embu niPieM nikwambie tukutane wapi!
Ahh embu nenda zako huko!Unadhani sijakuona ukiita watu uchochoroni!Mtumeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
kusifiwa rahaaa,unataman ungekuwa ww eti?
Subiri kidogo nipange mistari usiondoke Lizzy wanguEmbu niPieM nikwambie tukutane wapi!
ok lukansola,mm elewa sawasawa!Sijatamani kuwa mimi, lakini ni kweli kwamba, mahala husika pa kueleka maombi kama hayo ni PM, kwa sababu hata ukituambia sisi hatuna uwezo wa kumshawishi akupende, at the end of the day yeye ndiye mwamuzi, kwa hiyo ni bora ukaanzia huko kwenye PM halafu mkishakubaliana ndio mtuambie sisi tupambe na kisha tusherehekee. au vipi garmii?
Jaman judith ukowapi?mbona hunisaiidii? Kuna baadh ya watu wananiponda eti kisa ukovzri ktk michango yako njo mama nisaidie wananch wacopenda maendeleo yako wananiua.
Jaman huyu dada anayeitwa miss judith huwa namzimia sn hasa anapochangia mada humu jf,huwa c mtu wa kukurupuka na anawasilisha vilivyo binafs huwa anaukonga moyo wangu!miss judith upooo...?
Jaman judith ukowapi?mbona hunisaiidii? Kuna baadh ya watu wananiponda eti kisa ukovzri ktk michango yako njo mama nisaidie wananch wacopenda maendeleo yako wananiua.
Imekuwa kero na mimi kesho nitaamka nakuanzishia thread Lizzy l.o.l ila seriously this habit its starting to annoy me.
True Lizzy, mbona mimi nakuzimia sijasema, naona sasa imekuwa ndio fashion, pia kuna ile huduma ya pm kwa nini wasitumie hiyo, maana anayependwa mwingine wanaombiwa wengine.
same do i Finest,its too much now! sasa PM sijui zimewekwa za nini! na kama nakupenda Finest why should i publicise here! we can share soooo many constructive things rather than this! :confused2:
Watu wengine bwna,yan kumfagilia mtu inakuwa km ni ttzo flan vle!achen roho mbaya dada judith yupo vzr.
You can imagine watokee watu wengine kama kumi with the same trend mara mwingine atongozwe PM anakuja kuanzisha thread hapasame do i Finest,its too much now! sasa PM sijui zimewekwa za nini! na kama nakupenda Finest why should i publicise here! we can share soooo many constructive things rather than this! :confused2:
asante sana Garmii kwa kunitia moyo, Mungu akubariki sana mpendwa
mi nipo tu, nilikuwa naendelea kuwasoma. pole kwa kushambuliwa vikali na majeshi ya MMU. nadhani wameishajipa haki zaidi ya wengine ya kutumia hili jukwaa kadiri wapendavyo.
wasamehe tu na uwaombee.
asante tena kwa kuthamini maichango yangu. ubarikiwe sana
You can imagine watokee watu wengine kama kumi with the same trend mara mwingine atongozwe PM anakuja kuanzisha thread hapa