Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,827
Naona makosa kadhaa kwenye maisha yako ya kimapenzi, ukiishi na mwanamke lazima uwe mtu Wa machale mpk utakapo muelewa vizuri, na kama hujamuoa unatoa VP nafasi ya yeye kkfhm in and out, pia viumbe hv Mara nyingi vikiwa ni priority utapelekwa mpk upate ajili, japo sio wote.Aisee mi nadhani kama mapenzi ningeyapa kisogo ningekuwa mbali sana too bad imekuwa sehemu ya maisha yangu. Huwa inatokea tu nakuwa kwenye uhusiano na nipo smart sana kwenye kuyathamini ikiwamo kumpenda na kumjali sana partner wangu.
Mpenzi wangu huwa namdekeza sana aisee hata kama nina safari naweza hairisha incase anaumwa. Ni mtu special always ila shida ni kuwa mwanamke ukimfanya priority sana mwishoni mkizoeana anaanza tabia ya kiburi na dharau hasa kwa vile mi sio kicheche so ananijua in and out. Simfichi mpenzi wangu kwa lolote yani im always honest.
We jishaue tuu,nyo!!!!Asante sanaaa Emeeeen![]()

Akuuu nijishaue wakati ako kaneno huwa unaniambia mimi tu , ndomaana popote napokaona najua umenambia mimi.We jishaue tuu,nyo!!!!![]()
Akuuu nijishaue wakati ako kaneno huwa unaniambia mimi tu , ndomaana popote napokaona najua umenambia mimi.
nakwambiajeee,endelea kujishaua.![]()
![]()
nakwambiajeee,endelea kujishaua.



woman like you huwa mna heart of an Angel ...Sina tabia ya kubadili wapenzi kila week ndio maana mkuu, utaishi vipi na mwanamke miaka miwili au zaidi na asikujue vizuriNaona makosa kadhaa kwenye maisha yako ya kimapenzi, ukiishi na mwanamke lazima uwe mtu Wa machale mpk utakapo muelewa vizuri, na kama hujamuoa unatoa VP nafasi ya yeye kkfhm in and out, pia viumbe hv Mara nyingi vikiwa ni priority utapelekwa mpk upate ajili, japo sio wote.
Duh pagumu, mi sasahivi nimeanza weka benchmarks mwanamke akiwa sio romantic nampunguza hata awe mzuri vipiNdiyo ilivyo unaweza kuwa smart kwake lakini yeye asidhamini upendo wako, na si wanawake tu hata me wapo hivyo tena wanaoishi pamoja mke akiumwa kawaida tu lakini yeye akiumwa mke anakuwa naye karibu hivyo ni tabia tu kama tabia nyingine
itakuwa njia panda ya kwenda ulaya pale airportupo njia panda ya wapi mkuu?
Yani hili picha dah... Bonge la script!

Hapana nilikua nakutania tu, we si unataka kua aloneKwani nimekuwa mkali?
Yan kitendo cha kutoka tu na mpenz wa mwenzio inabd mweny mpenz wake ajue,either apew taarifa na shost au apew taarifa na uyo mpnz...lakin hii ya kutoka mara ya kwanz kimya sijui,ndo mazoea yanapozid badae wanakulana.Unatoka na mpnz wa mtu unamtaarfu mwenzio "shost ee niko na shem hapa jiran na kazin tunapata lunch" au "bby eee niko na Jolie hapa tunakula" ivo tu,hata kuaminika mtaaminikaUnaweza toka nae kama hujui lengo na huoni dalili na inategemea mnatoka kwenda wapi. Kwa mfano shemeji mnafanya kazi karibu anaweza kukualika lunch siku moja. Ila kukualika kinywaji usikh afu asemw usimwambie shoga ako jua maraya huyo anataka kuweka chapa
Na watakulana hao,ndo hapo shost anapompindua mwenzie anaolewa yeyeHivi siku hizi kuna kuaminiana na mashost hivyo,mie naona hata huyo dem wake ndiyo walewale, Jolie Jolie mpenzi wa shost anakuita si lazima utauliza best yangu yupo wapi au aniambie nimtafute sawa lakini kwenda kukaa 2 mmm wote hamna kitu hapo ni wote viruka njia.
Sawa bnaa.Hapana nilikua nakutania tu, we si unataka kua alone
Eeh lazima usemeYan kitendo cha kutoka tu na mpenz wa mwenzio inabd mweny mpenz wake ajue,either apew taarifa na shost au apew taarifa na uyo mpnz...lakin hii ya kutoka mara ya kwanz kimya sijui,ndo mazoea yanapozid badae wanakulana.Unatoka na mpnz wa mtu unamtaarfu mwenzio "shost ee niko na shem hapa jiran na kazin tunapata lunch" au "bby eee niko na Jolie hapa tunakula" ivo tu,hata kuaminika mtaaminika