Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
Airportupo njia panda ya wapi mkuu?
Airportupo njia panda ya wapi mkuu?
Mwengeupo njia panda ya wapi mkuu?
Yan kitendo cha kutoka tu na mpenz wa mwenzio inabd mweny mpenz wake ajue,either apew taarifa na shost au apew taarifa na uyo mpnz...lakin hii ya kutoka mara ya kwanz kimya sijui,ndo mazoea yanapozid badae wanakulana.Unatoka na mpnz wa mtu unamtaarfu mwenzio "shost ee niko na shem hapa jiran na kazin tunapata lunch" au "bby eee niko na Jolie hapa tunakula" ivo tu,hata kuaminika mtaaminika
Eeh lazima useme
M lazima nitamind tu ....kwanza kwanin wakale lunch pamoja tena kwa kupanga ?? Maybe itokee tu amemuona hiyo sehemu ila sio wamepanga kwenda lunch mxiieew
bidada nae kawa mvivu mpaka kafanya connection ya mtu na shemejie uweeeeee mambo haya staki kabisaKaaabisaaaaHehehehe mim asiniambie tuu maana itabid ajielezee ilikuwaje hadi wakapeana namba mpaka kufikia miadi ya kutoana out ....
How could my beb amuombe rafikAngu for a drink-up mxiiew !!! Hata kama nimekataa kutoka siku hiyo si akanywe na washkaji zake yaani over all the people ndo achague kunywa na rafikAngu ? Hii ni red flag kubwa saana , nitavuruga vuruga nihakikishe hawawi pamoja afu na huyu jamaa namuacha maana he’s not a man enough
![]()
![]()
bidada nae kawa mvivu mpaka kafanya connection ya mtu na shemejie uweeeeee mambo haya staki kabisa
Pole mkuuhuwa unakunywa pombe wewe?......sauti ya kamkojo wa kike huwa inanipagawisha sana
Bado inauma mkuu sana....coz huwa ni majuto sasaIkiwa umesababisha mwenyewe
JomoniiiiAisee mi nadhani kama mapenzi ningeyapa kisogo ningekuwa mbali sana too bad imekuwa sehemu ya maisha yangu. Huwa inatokea tu nakuwa kwenye uhusiano na nipo smart sana kwenye kuyathamini ikiwamo kumpenda na kumjali sana partner wangu.
Mpenzi wangu huwa namdekeza sana aisee hata kama nina safari naweza hairisha incase anaumwa. Ni mtu special always ila shida ni kuwa mwanamke ukimfanya priority sana mwishoni mkizoeana anaanza tabia ya kiburi na dharau hasa kwa vile mi sio kicheche so ananijua in and out. Simfichi mpenzi wangu kwa lolote yani im always honest.

Inatokea tu yaniJomoniiii![]()
![]()
![]()
![]()
Habari wana JF,
Mwenzenu najiona tofauti tangu mpenzi wangu anitambulishe rafiki yake nimetokea kumpenda sana rafiki yake yaani its love at first sight mpenzi wangu yuko poa sana lakini naona sasahivi sijui tumezoeana sana maana kila saa ni ubishi na ushindani hakuna kusikilizana.
Kugombana kila wakati kwa vitu vidogo inafikia wakati siku hata tatu zinapita hatuongei sasa nimeichoka hali hii nikaa chini na mwenzangu nikajishusha ili twende sawa lakini cha ajabu mwenzangu akaniona mimi mjinga eti ananiuliza nitaomba msamaha mpaka lini?
Nikaamua nitulie tu ili niende nae sawa sasa naona yeye sasahivi ndo anakuwa mnyonge baada ya mimi kupiga sana story na rafiki yake yaani shemeji yangu kwasababu yeye hatupigi story kivile.
Na shemeji yangu ni very charming tunachat tunapigiana simu sasa weekend iliyopita nilikua nimekaa zangu bar moja hivi mitaa ya Chang'ombe nikamuita mwenzangu aje tuchill tunywe kidogo then tusepe lakini akaniambia hawezi kuja yupo kwa marafiki zake anapiga story nikasema poa.
Ikabidi nimcheki rafiki yake nae akaniambia yuko around Chang'ombe nikamualika nilipo na kweli akaja tukawa tunakunywa na kupiga story nikawa namuelezea matatizo ya rafiki yake cha ajabu akawa ananipa moyo kwamba yataisha.
Tukanywa mpaka mida ya saa nne usiku tukawa tunarudi huku tunapiga story kufika njiani mkojo ukawa umembana na mitaa ile hakuna sehemu za kujisaidia nikamwambia akakojoe tu kwenye kichochoro kwenye kona ya kwenda kwao akasema hawezi mkojo umembana sana basi tukatembea kidogo ghafla nikaona kapandisha gauni lake fupi akavua chupi akakojoa mbele yangu huku ananiangalia usoni anacheka cheka kilevi, akafungua pochi akatoa tishu akajifuta akavaa chupi tukasepa.
Basi kitendo kile kilinisisimua sana mwili kusikia ile sauti ya mkojo ukianguka chini na jinsi anavyoniangalia nikamsindikiza mpaka kwao nikarudi kulala na mawazo basi tangu siku ile ninamfikiria yeye tu kila wakati yani na yeye amezidisha ukaribu na mimi kiasi kwamba hadi nataka tuvunje ushemeji.
Ananiomba tutoke tena kama sitajali kwasababu huwa anapenda kampani yangu dah nipo njia panda.
Inauma kinoma.. DaahInatokea tu yani