Nampenda rafiki yake kuliko yeye

Nampenda rafiki yake kuliko yeye

We sio kwamba umechoka kugombana na mpnz wako. Ni kwamba tamaa uliyonayo kwa rafiki yake ndio inakufanya upunguze mapenzi.
 
Usingizi ukiisha
Usiikubali ndoto hii iwe kweli ni mbaya.,
Matatizo hayamalizwi kwa usaliti, usimsaliti kicheche wako
 
Duh pagumu, mi sasahivi nimeanza weka benchmarks mwanamke akiwa sio romantic nampunguza hata awe mzuri vipi
Sasa utaacha wangapi kaka yangu, mengine tunarekebishana [emoji39] [emoji39] [emoji39] hakuna mkamilifu
 
M lazima nitamind tu ....kwanza kwanin wakale lunch pamoja tena kwa kupanga ?? Maybe itokee tu amemuona hiyo sehemu ila sio wamepanga kwenda lunch mxiieew
Na huwezi jua ni kimya kimya tu unashitukia posa
 
Ujinga ni kujitesa na mtu asiejua mapenzi ni nini
Mapenzini tunatesana sana, kuna mbaba yeye mke akiumwa alikuwa hana muda akirudi kazini anaoga huyo kuchepuka, siku1 akaumwa yeye halafu mke ni nurse naye akampotezea baba alitoa machozi kaenda kumshitaki mke akatema nyongo baba akaulizwa vipi hapo anisamehe basivsitarudia tena [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vitu hivi vipo hadi kwenye ndoa kaka yangu
 
Yan unampenda mtu na yy
Hana time na ww na yupo
Anaekupenda lkn ww huna time nae
Ndiyo hivyo me safi ke shida, wengine me shida mke safi nikama kubadilishana ili tubebeane misalaba
 
Mapenzini tunatesana sana, kuna mbaba yeye mke akiumwa alikuwa hana muda akirudi kazini anaoga huyo kuchepuka, siku1 akaumwa yeye halafu mke ni nurse naye akampotezea baba alitoa machozi kaenda kumshitaki mke akatema nyongo baba akaulizwa vipi hapo anisamehe basivsitarudia tena [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vitu hivi vipo hadi kwenye ndoa kaka yangu
Aisee ni hatari, tupendane tu basi sio ishu kufanyiana makusudi
 
Back
Top Bottom