usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,978
- 14,100
Mpaka unahis kwenye hayoHakuna anaye ona kosa lake ila la mwenzie
Mahusiano uliingizwa na
Ibilis
Mpaka unahis kwenye hayoHakuna anaye ona kosa lake ila la mwenzie
Yaani nikuomba Mungu tu kwakweliMpaka unahis kwenye hayo
Mahusiano uliingizwa na
Ibilis
Halafu hao walikuwa ni watu wangu wakaribu mpaka nikaogopa ndoaAisee ni hatari, tupendane tu basi sio ishu kufanyiana makusudi
Wanasema anything can happenYaani nikuomba Mungu tu kwakweli
hahaaaSafi sana, gudume ajiangalie kuna mshindani anakuja slow slow.
hahaaaPale shemeji alipokojolea ardhi ilichimbika!!?au palibaki flat tu!!? tuanzie hapo kwanza
mimi mwenyew nimestaajbuWewe huyo?
kohhh koohh kohhh.....mwendo wa chapa" tuUnaweza toka nae kama hujui lengo na huoni dalili na inategemea mnatoka kwenda wapi. Kwa mfano shemeji mnafanya kazi karibu anaweza kukualika lunch siku moja. Ila kukualika kinywaji usikh afu asemw usimwambie shoga ako jua maraya huyo anataka kuweka chapa
Hahaha ila sasa umeolewa?Halafu hao walikuwa ni watu wangu wakaribu mpaka nikaogopa ndoa
well indeed"""ndio maana mapenzi kwangu sio 1st priority.... maana nina mambo mengi muhimu ya kufanya ambayo huwa yananipa stress tosha ...so huwa sihitaji kubeba mizigo mingine ya stress za kujitakia....ukijihisi umenichoka anza mbele"" tusichoshane""' kwanza huwa siwezagi kuvumilia Tabia mbaya"" yaani hiyo talent ni menyimwa aisee""" nahisi kuishi kwenye hili jiji kumenisaidia aiseee maana mahusiano ya vijana wa dar nipasua kichwa balaaa...kama ukiwa guru hakuna uchi utakao kaa ukupotezee timeNaona makosa kadhaa kwenye maisha yako ya kimapenzi, ukiishi na mwanamke lazima uwe mtu Wa machale mpk utakapo muelewa vizuri, na kama hujamuoa unatoa VP nafasi ya yeye kkfhm in and out, pia viumbe hv Mara nyingi vikiwa ni priority utapelekwa mpk upate ajili, japo sio wote.
Sana hukujua kwani?Kumbe na ww n mshenga
mwambie.... ajue shemegi yake huyo....Huna lolote tamaa zinakusumbua
Unampoteza mwenzio ,wewe unaweza kufanya kitu kama hicho?Kama umempenda Shem mtafune tu maisha yenyewe mafupi haya kwanini ujibane
Yaap! Hata wewe ukinipa nakutafuna tu. Utam hauchaguiUnampoteza mwenzio ,wewe unaweza kufanya kitu kama hicho?
Ahaaa utasubiri sanaYaap! Hata wewe ukinipa nakutafuna tu. Utam hauchagui