Nampenda rafiki yake kuliko yeye

Nampenda rafiki yake kuliko yeye

Pole sana...

Tulia na wako, hata huyo unamuona tofauti ni kwa sababu hujampata bado...

Ukishampata utamzoea atory itajirudia tena nae unampenda rafiki yake...


Cc: mahondaw
Huwa unamchota akili demu wako ili ajue umwaminifu, kumbe..
 
Badala ya kutumia huo muda kutafuta solution kati yenu wewe unatumia huo muda kutoka na rafiki yake? Na huyo rafiki yake mkisha zoea atakuwa vilele na mta onana wa kawaida sana.

Bora utulie na mmoja au uamue kumuacha kabisa huyu wa sasa kuliko kumsaliti
 
Habar wana jf..
Mwenzenu najiona tofaut tangu mpenz wangu anitambulishe rafik yake!.. nmetokea kumpenda sana rafiki yake yaan ts love at first sight.

Mpenz wangu yuko poa sana lakn naona sasahiv cjui tumezoeana sana coz kula saa ni ubish na ishndan hakuna kusikilizana.

Kugombana kila wakat kwa vitu vya kipumbavu pumbavu.. inafikia wakat siku hata tatu znapita hatuongei sasa nimeichoka hali hii.. nikaa chin na mwenzangu nikajishusha ili twende sawa lakn cha ajab mwenzangu akaniona mm fala.. et ananiuliza ntaomba msamaha mpaka lin!??

Nikaamua nitulie tu ili niende nae sawa.. sasa naona yeye sasahiv ndo anakuwa mnyonge baada ya mimi kupiga sana story na rafik yake yaan shemej yangu kwasabab yeye hatupg story kivile.

Na shemej yangu ni very charming tunachat tunapigiana simu nk..
Sasa weekend iliyopita nilikua nimekaa zangu bar moja hiv mitaa ya chang'ombe .. nikamuita mwenzangu aje tuchill tunywe kidogo then tusepe lakn akaniambia hawez kuja yupo kwa marafik zake anapiga story.. nikasema poa.

Ikabid nimchek rafik yake nae akaniambia yuko around chang'ombe.. nikamualika nilipo na kweli akaja tukatuna kunywa na kupga story nikawa namuelezea matatzo ya rafik yake cha ajab akawa ananipa moyo kwamba yataisha

Tukanywa mpaka mida ya saa nne ucku tukawa tunarud huku tunapga story..
Kufika njian mkojo ukawa umembana na mitaa ile hakuna sehem za kujsaidia nikamwambia akakojoe tu kwenye kichochoro kwenye kona ya kwenda kwao.. akasema hawez mkojo umembana sana bas tukatembea kidogo ghafla nikaona kapandisha gaun lake fupi akavua chupi akakojoa mbele yangu huku ananiangalia usoni anacheka cheka kilevi.. akafungua poch akatoa tishu akajifuta akavaa chup tukasepa.

Bas kitendo kile kilinisisimua sana mwili kusikia ile sauti ya mkojo ukianguka chin na jins anavyoniangalia.

Nikamsindikza mpaka kwao nikarud kulala na mawazo..
Bas tangu siku ile ninamfikiria yeye tu kila wakat yan na yeye amezidisha ukaribu na mimi kias kwamba had nataka tuvunje ushemej.

Ananiomba tutoke tena kama sitajali coz huwa anapenda kampan yangu,
Dah nipo njia panda..
Safi sana, gudume ajiangalie kuna mshindani anakuja slow slow.
 
Nimekushangaa sana. anakojoa mbele yako unamtazama dalili mbaya za kukosa nguvu za kiume unapiga then kesho sorry nyingiiiii na unamkwepa mazima shemeji shemeji mbona unazima taa😎😎🙂
 
Funguka kwake..ila nina wasiwasi akitokea rafiki mwingne aliecharming zaidi ya huyo..pia utampenda..ukahaba huo
Umeshauri vyema sana lakini ukiangalia hata wewe situation ilivyo huwezi kuwa kwenye mahusiano yanayokupa kero na moyo huwezi kuvumilia siku zote tu lazima utafute faraja.

Ningekuwa mtoa uzi ningekuwa nimeshaweka kambi kwa shemeji na huyo mwanamke napiga chini mazima Kwanini nijipe tabu na kero kila siku kwa mtu mmoja? nitavumilia kwenye kazi inayonipa hela ila siyo kwenye mapenzi.
 
Mapenzi ni muunganiko wa furaha ya watu wawili mapenzi yakiwa kero huwezi kuhimili mtoa uzi popote ulipo.

Huyo mwanamke (Shemeji) anafaa weka kambi hapo kabisa na huyo mwingine mpotezee
dawa ya mwanamke ni mwanamke
 
Mmekutana wote malaya we na huyo shemeji yako kinachoelekea mnaelekea kukulana mkuu ebu kaa mfikilie mpenzi wako wapi mmetoka hizo tamaa za mda mfupi zisikupoteze
Unaweza kumfikiria lkn mwanamke akiaanza kukuletea dharau kila siku lazima uwe na plan B.
Dawa ya mwanamke ni mwanamke ndiyo maana tunashauri sana wanaume usiwe na mwanamke mmoja na huu msemo una ukweli mwanamke akijua yupo pekee yake atakusumbua sana lazima uwe na km 3 hivi.
 
Unakua kaa demu bwana,yaan mi kitendo cha kumwita dem tuu aje anipe kampani yaani tayari kashajua lengo langu na kama amefikia hadi anakojoa mbele yako yaani kitendo cha kumwacha salama hadi leo unanipa ukakasi kua wewe ni dume kweli au laa..silembagi mimi,enzi zangu za chuo nilitafuna marafiki wawili wa demu wangu ila alikuja jua tukaachana ila nilimpenda sana huyo dem wangu

Inshort kiliniuma sana kuachwa na huyo dem,..nilijuta
 
Unakua kaa demu bwana,yaan mi kitendo cha kumwita dem tuu aje anipe kampani yaani tayari kashajua lengo langu na kama amefikia hadi anakojoa mbele yako yaani kitendo cha kumwacha salama hadi leo unanipa ukakasi kua wewe ni dume kweli au laa..silembagi mimi,enzi zangu za chuo nilitafuna marafiki wawili wa demu wangu ila alikuja jua tukaachana ila nilimpenda sana huyo dem wangu

Inshort kiliniuma sana kuachwa na huyo dem,..nilijuta
Ikakuuma sana ungekuwa unamheshimu huyo dem wako usingetembea na marafiki zake
 
Sauti ya mkojo wa mrembo ardhini hupandisha genye sana OLE WAKO! Umeshaonywa.
 
Back
Top Bottom