Nampenda rafiki yake kuliko yeye

Nampenda rafiki yake kuliko yeye

ushemeji peleka segerea we ula vitu ni dhambi kubwa sana kukata kumtimizia mwanamke haja zake.

okoa ndoa ya best yako maana atakuwa mpole kwa mme wake na amani
 
Haha ndo mana mimi ni marufuku kutambulisha rafiki kwa bebe,halafu uyo mpenz wako anashindwaje lakini kulinda mali yake mpaka rafik anakua na mazoea na shemeji yake kiasi hicho???
Na wewe unawekaje mazoea yaliopitiliza na shemeji yako?
Yani kama ni ushemeji,meseji zinatakiwa kua short and clear....
Mambo shem-poa
Mzima?-mzima
Nilikua nakujulia hali--sawa nashukuru
Hapo mnakua mmemaliza,sasa habari za kuchati siku nzima zinakujaje tena?
Tatizo hao mashemeji wawili wote hawajatulia ndo maana wanaitana bar wawili.
 
Back
Top Bottom