BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,748
- 4,257
Kwa hiyo mke wa mtu haruhusiwi kwenda mbugani?
Twende tukiwa wawili tu? Mh hapo lazima mgegedo utokee bwana.
Kwa hiyo mke wa mtu haruhusiwi kwenda mbugani?
Mke wa mtu haendi mbugani?
Oh kumbe ni ruksa! Haya baby twende next weekend. Ila wifi yako Honey Faith ana wivu kuliko hata mme wako.
Nimeona humu kuna wadada ambao wana Hekima mfano; hawo niliowataja natamani wangekuwa ndugu zangu na sio wapenzi nmetengua kauli yangu ya mwanzo ili kulinda heshima yao baada ya kujua ni watu wazima kiumri zaidi yangu
Heee kwani mbugani ni mahali pa kugegedana? Si ungesema twende gesti basi
Miss Chaga na aunt yako Mamdenyi hamjajibu hapaaWachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio
wote wajanja. Kuna:-
1. Warombo wajanja sana kibiashara/wezi
pia, wameajiri Wamarangu mjini ni walevi
sana hupeleka wake zao vijijini wakileta
kiburi mjini. Wanawake zao ni mama
Huruma, wanaachia tu.. Ukioa mrombo ujue
umeolea kijiji.
2. Kuna Wamarangu wazuri sana wa sura na
umbo wanawachuna Warombo. Wanawake
wana dharau sana na wanaume ni waoga
kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu
kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.
3. Kuna Wakibosho wanafanana na Warombo
lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa
wanayofanya ni ya kuchinja... wengi
wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni
wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi
anakuja kudai kisu chake.
4. Kuna Wamachame hawa ni wezi sana,
ukifanya nae dili umeliwa, niwasiri sana,
anaweza kukuua huku akitabasamu, sio
waaminifu sana lakini huenda kanisani mara
nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake
wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume
ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.
5. Kuna Wauru, hawa hupenda kusoma sana
lakini hawapendi maendeleo kabisa,
wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua
wehu na wanaume huwa vichaa mapema
zaidi. Wanaume ni wavivu, wanawake ni
wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na
mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru
jiandae kulea kichaa.
6. Kuna Wakirua, wanapenda sifa kama
Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi
kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu
alikomoe.. Wanaume wao hawaoi kwao..
Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa
gharama.. lakini siku wakija mjini watatu tu
utadhani wako mia.
7. Kuna Wa-old Moshi. Hawa ni mafundi
stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi
kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda
Old-Moshi kuanzia Moshi mjini, maana ni
wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye
mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka
nyumbani saa kumi na moja alfajiri na
kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!
sasa sijui mamdenyi na miss chaga ni wachaga wa wapi...!!!
Kwahiyo Honey Faith ni wifi yake Mamndenyi!
Mie ni mama yake wa kambo ila hajui tu.
ukiona pesa kumbuka miss chagga.. ukimwona miss chagga kumbuka pesa
Mie ni mama yake wa kambo ila hajui tu.
Heee??? Kwahiyo hapo Honey Faith anataka kumpa papuchi baba yake!?
miss chaga bila pesa hawavuti mzigo....am kidding.
Umejuaje kama wanakuzidi umri. Mamndenyi, miss chagga