Nampenda mamdenyi na miss chaga

Nampenda mamdenyi na miss chaga

Nimeona humu kuna wadada ambao wana Hekima mfano; hawo niliowataja natamani wangekuwa ndugu zangu na sio wapenzi nmetengua kauli yangu ya mwanzo ili kulinda heshima yao baada ya kujua ni watu wazima kiumri zaidi yangu

Umejuaje Kama Ni Ma She Na Siyo Ma He? Mkuu Humu Kuna MAZINGAOMBWE Usiyoyajua Na Angalia Tu Usije Ukawa Unasanifiwa!
 
Back
Top Bottom