miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Nulisahau
usiwe unasahahu wewe
Nulisahau
Unapendwa wapi?Naendelea kukuchemshia dawa yako nataka nikikunywesha watu wote wakukimbie........😀
usiwe unasahahu wewe
yani we mama nitampeleka baba yangu kwa mganga akuache ... kaone wivu tu :angry:
Unapenda niwe mama yako eeeehh???Baba yako haniwezi mie....
Nitakua nakumbuka kama google
ukiona pesa kumbuka miss chagga.. ukimwona miss chagga kumbuka pesa
ha ha ha ha kwani una nini cha ziada asikuweze sasa utajuta
Well said yaani nikikamata pesa tu,nakuona wewe
Mie baba simpendi kabisaaa kwanza hana hela mie nimpeleke wapi?
ngoja amalize kunisomesha uone
Mtafanyaje???
Unapendwa wapi?Naendelea kukuchemshia dawa yako nataka nikikunywesha watu wote wakukimbie........😀
Kama hivyo ni sawa;
Ili mradi umekubali,
Jipange tuite kikao cha familia.
tutakubaka moyo kwa mapesa yetu
Khaa! Mtoto wa kike una wivu weweee, wacha mwenzako apendwe.
Sasa mpaka umalize shule mie namsubiriaga tu huyo kizee chako?Akuuu nimeishampata bwana mapesa nakula kuku kwa mrija
kaa mguu mmoja nje tunajipanga binti mtamu umtose baba yangu lazima hiyo mali amiliki baba yangu
Nimeona humu kuna wadada ambao wana Hekima mfano; hawo niliowataja natamani wangekuwa ndugu zangu na sio wapenzi nmetengua kauli yangu ya mwanzo ili kulinda heshima yao baada ya kujua ni watu wazima kiumri zaidi yangu