KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,757
- 86,398
We naona hujui vizuri online Kuna mimbute gani kule..😂ukihack ni kushinda tuu
We naona hujui vizuri online Kuna mimbute gani kule..😂ukihack ni kushinda tuu
😂😂😂Mkuu itabidi nitafute gem na wewe... la online tuchezeMkuu online kunavichwa sio kucheza tu kule ni amsha ndugu..😅
🤣🤣🤣Pila birian watu wanapigiwa mkuuWe naona hujui vizuri online Kuna mimbute gani kule..😂
Timu yako inaitwaje..😂😂😂Mkuu itabidi nitafute gem na wewe... la online tucheze
Ana chura?
Jamaa hawaujui mziki wa onlineMkuu online kunavichwa sio kucheza tu kule ni amsha ndugu..![]()

Ww jamaa una kelele sanaPila birian watu wanapigiwa mkuu

Huyu akija Kama kazoea hizo midebwedo anapiga magori kibao huku tutamnyoosha mpk aunge juhudi..😂Jamaa hawaujui mziki wa online
Wamekalili zile elite division![]()
Sasa hayo ya kawaidaHuyu akija Kama kazoea hizo midebwedo anapiga magori kibao huku tutamnyoosha mpk aunge juhudi..
Yani nikicheza online halafu nikaja kucheza haya ya kawaida naona hakuna kitu kabisa..![]()
🙄🙄🙄😂😂😂isije ikawa mwana kulifind mwana kuliget...Ww jamaa una kelele sana
Mkuu itabidi tulipige game 1
Ngoja niinstall tena maana nilikuwa niko busy na gangster vegasTimu yako inaitwaje..
na mpambanie kweli kweli




Acha tuu. nimepata hela za sikukuu af sina wa kula naeNimekumiss sana wewe mpuuzi, siku hizi huna makeke tena paka mwitu wewe.Usinichafue kalio lako![]()
Mwisho upi?
Mwisho wa chereko chereko, mlisema hamuoi mbona kamuoa 😀Mwisho upi?
😂😂😂😂😂😂
Kama vipi acha nikuoe mimi mwenyewe. Liwalo na liweWewe ndo mwenye maamuzi ya mwisho babu yangu
Nakusikiliza wewe