Nampenda huyu Mume

Ndoa zinazodumu bad boy na beautiful girl
Handsome boy ba kijuso
 
Unajua nyie watu siku hizi mnapenda ndoa za maonesho. Hamtaki watu wafupi hasa wanaume wafupi eti kisa watakuonaje ukitembea naye....tunaaminishwa mwanamke awe na figure fulani.

Tungekuwa tunaowana kwa kuangalia moyo wa upendo dunia ingekuwa mahali salama zaidi kuishi.
 
Wala sikumaanisha hivyo, nilimaanisha nampenda jinsi anavyomkubali mkewe, na pia kuhusiana na mtazamo wa huyo dada. Kwa jinsi alivyo hakutegemea mume wake angempenda na kuendelea kuwa nae, ukizingatia mume mwenyewe ni very good looking
Dada, ndoa is more than just muonekano wa wanandoa.
Nilichogundua, kama ambavyo inaonekana wanaume wafupi wana inferiority complex kwa wadada warefu ndivyo wanawake wenye shape mbaya wanavyojiona mbele za wanaume.
 
Huyu jamaa naye mzembe. Anamwachaje mkewe awe picha ya michelin wakati yeye ni six pack?
 
Kwani huyu mwanaume anavutia nini?

Is this even a question?!!

Huyu jamaa naye mzembe. Anamwachaje mkewe awe picha ya michelin wakati yeye ni six pack?


Mkuu kuna bodies nyingine zikifika mahali kwa uzito, zinakuwa si rahisi kubadilika tena. Huyu kaka anavyoonyesha kuwa ni mtu wa mazoezi, sidhani alishindwa kabisa kumshawishi mkewe japo wakafanye mazoezi ya kutembea pamoja plus, huyu dada sidhani angeweza kukaa tu kizembe wakati anaona mumewe anajiweka fit hivyo.
Sidhani mwili wake wa kupunguza kwa mazoezi, labda kwa Lipo.
 
Yaani ww ndio kilaza zaidi ya bashite walah tena na hii ni post yangu ya mwisho cwezi kujibizana na mtu asojielewa sasa mm mambo ya kudinda yananihusu nn??ww hunifahamu tuliza pumbu unaruka ruka tuu...eti najifariji[emoji23] [emoji23] asee pole sanaa ndio maana nilikuambia hujiamini mtt Mdogo ww unasubiri mwanamke au mwanaume mwenzio akuambie unamvuto c UKIHIO huo aahgg...kwakuwa leo is Sunday naomba niishie hapa.
 
huyo jamaa ni selfish. Kama yeye ni mtu wa zoezi kwa nn asimsaidie mkewe naye awe na shape nzuri? unafiki tupu
 
Na palipo na TRUE LOVE pana MUNGU pia, refer maana ya UPENDO kibiblia.

Good luck for you two.

Cc mate wangu mahondaw


This's just perfect.
"Na palipo na True Love pana Mungu"
Ina march na hii topic. Nitaamini hii ndiyo iliyowaweka pamoja huyu mdada 'Jazzy' na mumewe. Kusingekuwepo na msaada wa nguvu ya ziada, sidhani wange last kama familia nzuri na kuwa mfano kwa wengine kama hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…