Nampenda huyu Mume


Hii itakuwa limbwata sio bure
 
Maisha unavyozidi kuwa ovyo na kauli za ovyo uwezi kuzikwepa
 
Hii itakuwa limbwata sio bure


Sidhani Usher!, ni mapenzi tu. Na pia inaonekana mdada aliongezeka zaidi baada ya watoto lakini haikumzuia mume wake kuendelea kumpenda. Ingawa pia mwanaume anaonekana ni mtu wa kujali sana afya, na kupiga tizi la nguvu.
 
Mmekalili...qualities za mwanamke ndo zinazomfanya mwanaume a stick kwako kwa long time..uzuri sawa ila hatadumu kwako kwa mda mrefu km huna zile qualities za uhakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…