Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 1,846
- 1,704
Hebel!!Kama Babaako alivyokula kinyeo chako ndio maana muda wote unawaza vinyesi na vinyeo. Peleka upuuzi kwa Babaako aliyekufunza huo uchafu.
Hebel!!Kama Babaako alivyokula kinyeo chako ndio maana muda wote unawaza vinyesi na vinyeo. Peleka upuuzi kwa Babaako aliyekufunza huo uchafu.
Emu chukulia una kijana wako wa kiume let's say Yuko katika early 30 kaja kwako kama baba yake na kukuambia amemzalisha Binti na Hana Nia ya kumuoa.
Kuhusu swala la matunzo ya mtoto utamshaurije?
Hebel!!
Umeanza kujificha kwenye logical frame work matrix..Mkuu kwanza jibu la swali hili lina vary kati ya mtu na mtu, mazingira, muda, nyakati, elimu, uzoefu, umri, historia, familia, chimbuko, malezi, imani, hali, utamaduni, mazoea, hulka, tabia, fikra, mtazamo wa mtu na kadhalika.
Umeanza kujificha kwenye logical frame work matrix..
Jibu swali tu katika mazingira ya kawaida ya familia za kiafrika.
Upuuzi ni ule aliofanya mama Yako pale stendi ya makambako kukukunya..angekumwaga chooni mazima tu.Kama Babaako alivyokula kinyeo chako ndio maana muda wote unawaza vinyesi na vinyeo. Peleka upuuzi kwa Babaako aliyekufunza huo uchafu.
Hebel umewaangusha watibeli sana, kwa kutukana. Nakukumbusha, Mwalimu Mtibeli hatukani hata akwazwe vipi na mwanafunzi wake! Leo umeharibu! 🗣️👣Suala la matunzo ya mtoto halihitaji Ushauri kwani lipo wazi kisheria. Ni wajibu.
Huwezi mshauri mtu wajibu wake.
Alafu unajiona Mwanaume. Sio ajabu unawaza kile ulichofanywa na Babako
Upuuzi ni ule aliofanya mama Yako pale stendi ya makambako kukukunya..angekumwaga chooni mazima tu.
Mazingira ya kiafrika ni kama bibi Yako anavyojisaidia haja kubwa kichakani Huko kwenu uswekeni.Mazingira ya Kiafrika ni yapi?
Uafrika ni nini?
Swala la mwanamke kuchangia pato la familia halipingiki hata kidogo. Methodology nzuri itumike ili kuhakikisha mwanamke anaona thamani ya kile anachofanya kwa familia yake.
Ukizaa nje(hovyo) huo ni mshahara wako, kulea mtoto. Yaani unatakiwa ugawe kipato chako kidogo twice( kwako na kwa baby mama) ili ulee mtoto wa nje huko, kazi kubwa sana hii na ndio maana wengi wanashindwa, kipato hakigawanyiki.
Tunawaasa muache ķuzaa hovyo ili muwe na nuclear family, mlee watoto kwa kipato hicho kidogo pamoja.
Mazingira ya kiafrika ni kama bibi Yako anavyojisaidia haja kubwa kichakani Huko kwenu uswekeni.
Inawezekana wewe pia nimeshakuharibu.Na Babako aliyekugeuza mkewe ndiye Role model wako. Nawaonea watoto wako wakiume huruma maana utawaharibu
Hebel umewaangusha watibeli sana, kwa kutukana. Nakukumbusha, Mwalimu Mtibeli hatukani hata akwazwe vipi na mwanafunzi wake! Leo umeharibu! 🗣️👣
Vipato vya wengi ni vidogo, havigawanyiki. Sio rahisi kugawa mshahara kwa baby mama na kwako ukaishi vizuri.Unaweza ukaoa na mkapeana Talaka. Ishu hapo ni haki na wajibu.
Kisheria mtoto ni mtoto hakuna mtoto wa nje wala wa ndani.
Usimtumie ukristo kufanya kama rejea ya mambo ya hovyo, mwandishi anaongelea mwanamke mchepuko na sio mkewe wa ndoa.Kwakuwa ni maoni yako, nayaheshimu.
Ila mwanaume Mkristo anayewaza majukumu ya 50/50 ni mpumbavu na ni mbaya kuliko asiyemuamini Kristo.
Mwanaume Mkristo lazima aitunze na kuilinda familia yake, asimtegemee mwanamke pesa yake kabisa ila amtegemee Mungu kama msaada wake mkuu pamoja na maarifa aliyokuwa nayo. Afanye kazi kwa bidii na kutegemea Mungu ataibariki kazi ya mikono yake.
Mwanaume Mkristo ni mwanajeshi anayemfuata Yesu, akishindwa kumpenda mwanamke wake, ameshindwa kuonyesha upendo wa Yesu kwa mwanamke huyo. Upendo wa Yesu ni utoaji na sio kupokea kila kitu zaidi ya utii kutoka kwa mwanamke. Mwanaume ni natural giver na kutokana na utoaji huo, mwanamke ataonyesha upendo wake kupitia utii.
Kucheka Cheka ni dhahiri shahiri wewe ni sengerema Moja lililokubuhu.
Pole sana mkuu. Huna hatia wewe ni mhanga tuu. Hukupenda kuwa hivyo ulivyo.
Mkuu,Watibeli wanatumia kanuni nyingine isemayo dawa ya moto ni moto.
Na Mpumbavu hajibiwi kwa Hekima.
Huyo sio mwanafunzi wangu. Sio Mtibeli.
Watibeli tunaongozwa na haki.
Kipimo atakachopima sisi tutapima vilevile kwa kadiri ya atakavyokuja
Sio hivyo tu, Ndugu,..kuna research ya watu wa Magharibi Niliwahi isoma,UCHUNGUZI unaonyesha watoto takribani 33% walio kwenye changamoto mbalimbali zinazowapa stress,..Wapo tayari KUWAFUNGULIA MASHTAKA WAZAZI WAO, KWA KUWALETA KWENYE MATESO,..kuwa hawakuombwa kuzaliwa....hivyo ni JUKUMU LA WAZAZI 100% kuwapigania katika hali yeyote ile, kwani wanaamini kuzaliwa kwao ilikuwa ni tamaa za miili ya WAZAZI wao tu...Tunapoenda Huko mbele mambo yatakuwa hivyo