Namna ya kumfanya mfungwa afunguke

Namna ya kumfanya mfungwa afunguke

3. Kuwashiwa taa zenye mwanga mkali Sana
Hii noma hii hapana hii inaumiza sio kidogo

Bora muziki mkubwa bora umwagiwe maji ya baridi, taa yenye mwanga gizani ukimulikwa inaumiza sio kawaida, wewe chukulia tu zile gari barabarani mtu akikuwashia full light unavyolalamika, sasa ichukuliwe uwekwe hapo upigwe na mwanga, inatesa inaumiza
 
Water body

kunyimwa chakula na maji kwa muda mrefu
Hii ya kuwekewa kitambaa usoni na kumwagiwa maji yanayotiririka kwa nguvu au kuwekewa bomba la mrija mdomoni kisha wanakujaza maji ya lita 20 kwa pupa haiumizi km ukiwashiwa mwanga wa taa, oya hujawahi mwanga wa taa unauma kishenzi sio kila taa ila kuna taa maalum na hizo taa sio vizuri kuziweka nyumbani kwako maana ni taa za kuwatesa watu sio nzuri, kuna taa fulani hivi zinakua njia 2/3 kuna nyeupe, halafu inafuata orange halafu inafuata red, sasa hii orange ndio ya kutesea ukiwashiwa full light km umefungiwa kwenye chumba na umefungwa wakirudi wanaweza wakakuta maiti
 
Hii ya kuwekewa kitambaa usoni na kumwagiwa maji yanayotiririka kwa nguvu au kuwekewa bomba la mrija mdomoni kisha wanakujaza maji ya lita 20 kwa pupa haiumizi km ukiwashiwa mwanga wa taa, oya hujawahi mwanga wa taa unauma kishenzi sio kila taa ila kuna taa maalum na hizo taa sio vizuri kuziweka nyumbani kwako maana ni taa za kuwatesa watu sio nzuri, kuna taa fulani hivi zinakua njia 2/3 kuna nyeupe, halafu inafuata orange halafu inafuata red, sasa hii orange ndio ya kutesea ukiwashiwa full light km umefungiwa kwenye chumba na umefungwa wakirudi wanaweza wakakuta maiti
hio water body ni balaa ilitumika kule guntanam
 
Hii noma hii hapana hii inaumiza sio kidogo

Bora muziki mkubwa bora umwagiwe maji ya baridi, taa yenye mwanga gizani ukimulikwa inaumiza sio kawaida, wewe chukulia tu zile gari barabarani mtu akikuwashia full light unavyolalamika, sasa ichukuliwe uwekwe hapo upigwe na mwanga, inatesa inaumiza
Nadhani mbaya zaidi water board..
Water body

kunyimwa chakula na maji kwa muda mrefu
Hapana unalazwa chini unafunikwa kitambaa usoni kisha unamwagiwa maji usoni hasa kwenye paji la uso
 
Hii ya kuwekewa kitambaa usoni na kumwagiwa maji yanayotiririka kwa nguvu au kuwekewa bomba la mrija mdomoni kisha wanakujaza maji ya lita 20 kwa pupa haiumizi km ukiwashiwa mwanga wa taa, oya hujawahi mwanga wa taa unauma kishenzi sio kila taa ila kuna taa maalum na hizo taa sio vizuri kuziweka nyumbani kwako maana ni taa za kuwatesa watu sio nzuri, kuna taa fulani hivi zinakua njia 2/3 kuna nyeupe, halafu inafuata orange halafu inafuata red, sasa hii orange ndio ya kutesea ukiwashiwa full light km umefungiwa kwenye chumba na umefungwa wakirudi wanaweza wakakuta maiti
Inaumiza nini?
 
Ufala wa kiafrika, mtu kaiba kuku, kakamatwa na kete mbili za bange, anapigwa shoti, mtembeza kwenyw kokoto,sijui mwagiwa maji, kunyimwa usingizi n.k

Wenzetu mbele kila mbinu hutumika kulingana na kosa na mfungwa ni nani na wanataka nini kwake.
 
Back
Top Bottom