Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 6,391
- 15,196
zipo nyingi sana....nikiziweka zote hapa itakuwa sio sawa...Kumbe wasiojulikana wana mbinu nyingi sana za mateso
zipo nyingi sana....nikiziweka zote hapa itakuwa sio sawa...Kumbe wasiojulikana wana mbinu nyingi sana za mateso
Kule Malawi wana mfiraji wao kabisa.. Yule mbwakoko atakufa kifo kibaya sanaUfala wa kiafrika, mtu kaiba kuku, kakamatwa na kete mbili za bange, anapigwa shoti, mtembeza kwenyw kokoto,sijui mwagiwa maji, kunyimwa usingizi n.k
Wenzetu mbele kila mbinu hutumika kulingana na kosa na mfungwa ni nani na wanataka nini kwake.
Mtu wa ndani, roho yakoInaumiza nini?
Kulawitiwa kupo hasa katika kuangusha Kitambulisho chako achana na vipigo ( kuumiza ) na maneno ( matusi ) ya kuvunja haiba ngumu aliyonayo mtu.Ila wenzetu wana ustaarabu kidogo hawalawiti kama Malawi
Kwahiyo mwanga unaumiza ndani?Mtu wa ndani, roho yako
Hujawahi kwa hio huwezi kuelewa hata nikikuelewesha hutoelewaKwahiyo mwanga unaumiza ndani?
Yeah mwanaume akishalawitiwa ndio imeisha hiyo! Hataweza kujiamini tenaKulawitiwa kupo hasa katika kuangusha Kitambulisho chako achana na vipigo ( kuumiza ) na maneno ( matusi ) ya kuvunja haiba ngumu aliyonayo mtu.
Project zao zote mf:Anarchy, Blue bird
Mfano magaidi wanalawitiwa mfululizo kuwavunja hope, confidence.
Ukitaka kujua PTSD inabaki kama alama kwa waliotoka kwenye mikono ya wahuni.
Watendwa wanakuwa na Hofu, upweke, wanakosa umakini.
Balance ya Logic na hisia huwa inakufa.
Wewe uliyewahi, elewesha!Hujawahi kwa hio huwezi kuelewa hata nikikuelewesha hutoelewa
Na huruhusiwi kufumba macho?Unachanganya mpaka ubongo! Refer mateso aliyopata Hilda Newton kule Malawi.. Kuna tochi unapigwa nayo machoni unahisi ule mwanga unatoboa mpaka kisogo
Umewahi kumwagiwa maji ya MOTO yalichemka nyuzi joto ya juu mwilini mpaka yanakubabua ngozi? Au hujawahi au nikuulize umewahi kujimwagia uji uliochemka saaana mpaka unarukaruka?Wewe uliyewahi, elewesha!
NdioUmewahi kumwagiwa maji ya MOTO yalichemka nyuzi joto ya juu mwilini mpaka yanakubabua ngozi? Au hujawahi au nikuulize umewahi kujimwagia uji uliochemka saaana mpaka unarukaruka?
Sasa huo moto wa Volcano ndio hio taa yenye mwanga mkali unapigwa nayo mwilini itakutesa tu, meengine acha nikae kimya sio kila kitu cha kukiongelea sanaNdio