Namna ya kumfanya mfungwa afunguke

Namna ya kumfanya mfungwa afunguke

Hii ya kuwekewa kitambaa usoni na kumwagiwa maji yanayotiririka kwa nguvu au kuwekewa bomba la mrija mdomoni kisha wanakujaza maji ya lita 20 kwa pupa haiumizi km ukiwashiwa mwanga wa taa, oya hujawahi mwanga wa taa unauma kishenzi sio kila taa ila kuna taa maalum na hizo taa sio vizuri kuziweka nyumbani kwako maana ni taa za kuwatesa watu sio nzuri, kuna taa fulani hivi zinakua njia 2/3 kuna nyeupe, halafu inafuata orange halafu inafuata red, sasa hii orange ndio ya kutesea ukiwashiwa full light km umefungiwa kwenye chumba na umefungwa wakirudi wanaweza wakakuta maiti
Siamini Yani umulikwe tu ufe
 
1. Kumwagiwa maji baridi Sana
2. Kuwekwa kwenye chumba chenye mziki full blast
3. Kuwashiwa taa zenye mwanga mkali Sana

Hizo hatua tatu zikifanyika na bado haongei hupewa mateso mengine makali zaidi
Hatari sana, nilikuwa nacheck jana clip moja jinsi CIA wanafanya hivyo inaogopesha.
 
Back
Top Bottom